Ni moja ya beki asiye na akili kwenye timu yetu ..sijui alikuwa anakaba nini..acha tuliweHuyu smalling bhana... haya ngoja tuone
Hakuna cha hisia. Nataka wafungwe mechi at least 2 msimu huu (EPL). Ila game lilivyoanza inaelekea hamna lolote leo, 2-0 sasa . Na kwa mwendo huu watalibeba by 50 minutes mark.Hahaha tafuta Grocery Store moja kachukue Budweiser za kutosha, Kilakshari atalipa
rubaman kaanza kuweka wazi hisia zake kuhusu Man Utd, karibu kwenye chama
Hakuna cha hisia. Nataka wafungwe mechi at least 2 msimu huu (EPL). Ila game lilivyoanza inaelekea hamna lolote leo, 2-0 sasa . Na kwa mwendo huu watalibeba by 50 minutes mark.