CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,676
- 1,060
Tatizo hapa watu wanaangalia upande mmoja. Tatizo sio kocha wala wachezaji WA man u. Angalieni na hao wengine walivyo naasira. Kama nyuki. Hawataki kabisa kusikia jezi nyekundu.Kuna wakati unahisi timu unayoiangalia sio ni Man Utd