Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Playing style yetu inatucost sana....wengine tunajaribugi kuongea humu ndani ila wengine huwa wanamtetea Mou.....Mungu tusaidie tutoke salama
 
Wapi Pogba, wapi Alexis, wapi Lukaku? Pesa mingi imemwagwa kama ujenzi wa barabara Dar foleni ipo pale pale
Tatizo msimamizi wa mazoezi ila watu wana mtetea uwezi kuwa na wachezaji kama hao kisha wanashindwa kucheza angalia body language za wachezaji wanaonekana awapo tayari kucheza kama wamelazimisha
 
Smalling na young hamna kitu. Valencia anacheza kombelela tu ndani humu
 
Tangia Kibabu Gagula Ferguson kibwage manyanga Manyoo wamekuwa kama Stoke city. Hawajashinda kombe lolote la maana
 
Back
Top Bottom