Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Daah iv man u awawezi Fanya mpango wampate yule bwana kweli
Mkuu Jux,

Dah ilikua moja ya ndoto kumwona Pep akiwa The Boss pale OT ila haikua hvo. Babu Ferg sjui alkosea wap..

Kwa sasa ni ngumu sana labda angetimuliwa Man City,, pia kutoka City kuja Utd sidhani tena,,

Ngoja tupambane na Mwl wetu wa mataji ila mbele ya Pep i think atakua anabeba FA, na Carabao...
 
Omushambulizi
GBWA-20180314145411.jpg
 
Mkuu Jux,

Dah ilikua moja ya ndoto kumwona Pep akiwa The Boss pale OT ila haikua hvo. Babu Ferg sjui alkosea wap..

Kwa sasa ni ngumu sana labda angetimuliwa Man City,, pia kutoka City kuja Utd sidhani tena,,

Ngoja tupambane na Mwl wetu wa mataji ila mbele ya Pep i think atakua anabeba FA, na Carabao...
Duh apo ninoma mkuu
Pep deserved a big club like man u sema ndoivo haikuwa ivo
I wish moo wam sack aje ata ancelot maana kwa style yauyu jamaa mpia mzuri hatutakuja kuuona pale ot
 
*kweli nyanya Za kachumbari hazimenywi maganda*

United
*mtoto yake nepi majinsi waachie mabishoo*

manchester united a.k.a mwanitesa united tatizo mnaongea sana
 
Duh apo ninoma mkuu
Pep deserved a big club like man u sema ndoivo haikuwa ivo
I wish moo wam sack aje ata ancelot maana kwa style yauyu jamaa mpia mzuri hatutakuja kuuona pale ot
Mpira mzuri haupo tena Mkuu..
Jamaa n mzuri kwa mbinu za ushindi ila zmepitwa na wakati..
AC Milan
Inter Milan
Juventus
Chelsea

Kwa uchanga wangu wa kujua soka na mambo kadhaa kwa uchache hzo ni baadhibya timu ambazo zlikua znaujua mpira wa kupaki vifaru... Ila zmebadilika hasa huenda kwa sababu ya anguko kadha wa kadha,

Ila nachoamini wachezaji wa aina ya kupaki bas dk 90 wamepungua sana kama sio kutoweka... Cha ajabu Josee habadiliki...

Ila kwa kua n falsafa iliompa mafanikio nadhan hatabadilika labda Utd ndio watabadilika..

All in All kama kutakuwa na mabadiliko
Kete yangu kwa Maurichio Pochettino..
Katolewa ma timu kubwa yenye world class players kuanzia namba 1 hadi 11.. Tena kazidiwa timing na huenda bahati haikuwa kwake that day but tuliona how Seong Min Son,, Kane, Dele, Eriksen wakifika mara kadhaa kwa kna Chiellin..

What is wrong with Utd???
Hatna wachezaj wa maana??
Sevilla nan wa maana?? Nzonzi??? Banega binafs namheshimu Mkuu.
 
Mpira mzuri haupo tena Mkuu..
Jamaa n mzuri kwa mbinu za ushindi ila zmepitwa na wakati..
AC Milan
Inter Milan
Juventus
Chelsea

Kwa uchanga wangu wa kujua soka na mambo kadhaa kwa uchache hzo ni baadhibya timu ambazo zlikua znaujua mpira wa kupaki vifaru... Ila zmebadilika hasa huenda kwa sababu ya anguko kadha wa kadha,

Ila nachoamini wachezaji wa aina ya kupaki bas dk 90 wamepungua sana kama sio kutoweka... Cha ajabu Josee habadiliki...

Ila kwa kua n falsafa iliompa mafanikio nadhan hatabadilika labda Utd ndio watabadilika..

All in All kama kutakuwa na mabadiliko
Kete yangu kwa Maurichio Pochettino..
Katolewa ma timu kubwa yenye world class players kuanzia namba 1 hadi 11.. Tena kazidiwa timing na huenda bahati haikuwa kwake that day but tuliona how Seong Min Son,, Kane, Dele, Eriksen wakifika mara kadhaa kwa kna Chiellin..

What is wrong with Utd???
Hatna wachezaj wa maana??
Sevilla nan wa maana?? Nzonzi??? Banega binafs namheshimu Mkuu.
Kweli mkuu kama juve kapitia uzoefu kitu ambacho ni rahisi san a kwa pochetino kubadilika
I surely aree wth yu ts better to have pochtno rather than moo
Jamaa yule anajua na pale kashika toti angalia sajili zake ize sana lkn ana bonge lakikosi vp akipewa timu kama man u mpunga kibao naamini atasajili vilivyo nakufanya makubwa
 
Kushinda Ni Tabia Kama Huna Hio Tabia Utabaki Unalalama Sana, Kubalianeni Na Hali Yenu Tu, Inabidi Mziunge Mkono Epl Team Zilizobaki. Ni Hayo Tu
 
Kweli mkuu kama juve kapitia uzoefu kitu ambacho ni rahisi san a kwa pochetino kubadilika
I surely aree wth yu ts better to have pochtno rather than moo
Jamaa yule anajua na pale kashika toti angalia sajili zake ize sana lkn ana bonge lakikosi vp akipewa timu kama man u mpunga kibao naamini atasajili vilivyo nakufanya makubwa
Yes Mkuu...
Jamaa kiasi chake mchanga lakin atakomaa huko huko..
Pia anaenda na wakati,,

Ana Dembele, Dier, Wanyama, Sissoko, ana wa-accomodate vizuri sana hasa wanapokua vizuri kimpira,,
Serge Aurier, Tripier wanacheza vizuri,
Davies as well, Vortenghen, Sanchezi, wapo good pia

Kwetu hata Pogback anaanza kupotea..

Anyway Mkuu,,
Binafsi namwelewa san The Special One... Kafanya Makubwa sana katika Footbal kuanzia 2000's
Ila huenda Viatu vya Babu Ferg vmekuwa vikubwa

Sana sana tuwe wavumilivu.. Sina shaka Bodi inajua mambo zaidi,, ila kwa utashi mdogo tu Bodi ile Chini ya yule Mwana-uchumi inafanya poa katka masoko kulko football..

Real Madrid Perez ypo poa sokoni n pitch pia..
We have to Change.

Galacticos toka kwa LvG ila top 4 n hadi presha zpande na kushuka... Kikosi cha kwanza hakieleweki mpaka kesho.. Kwa nn Banega asikukimbize??

Ramon Sanchez kama sio umahiri wa Dave tungelala,,
Murriel katukosa kama two times jana,,
Kwa kifupi kama shabiki wa soka,, Sevilla walistahili kushinda.. Tumepata tlichostahili..
Hata Muñchen,, Barcā, Rēal even PSG kna sku wanakuwa vibaya,, but Utd imekuwa majority of the Season... Sio kwa Hudder,, sio kwa kna Jonjo, sio kwa Motip,

For sure kama Utd hii ingekua n pepa Ninge-disco maana sjui nn shida
 
Wakuu Mimi niseme kwa ufupi tu...

Toka tarehe 13/3/2018 nimegundua kuwa....

MOURINHO sio kocha ,overrrrr!!!!!!!!!!!

Ata achukue sijui FA,sijui ashinde mechi zilizobaki

MOURINHO sio kocha
 
Wakuu Mimi niseme kwa ufupi tu...

Toka tarehe 13/3/2018 nimegundua kuwa....

MOURINHO sio kocha ,overrrrr!!!!!!!!!!!

Ata achukue sijui FA,sijui ashinde mechi zilizobaki

MOURINHO sio kocha
Mi niligundua toka ana teuliwa
Kipindi hiki haki suit akili ya Mou
Namsapot kwakuwa tu ni kocha wa myclub.
Ila he is past his prime days
 
Mi niligundua toka ana teuliwa
Kipindi hiki haki suit akili ya Mou
Namsapot kwakuwa tu ni kocha wa myclub.
Ila he is past his prime days
Halafu bila aibu, anadai hiyo ni kawaida! Kisha ishuhudia ikitolewa hatua hii mara mbili kabla ya hii hapo hapo OT, akiwa kocha wa Porto na Real Madrid, na sasa akiwa kocha wa MANUTD!
 
Halafu bila aibu, anadai hiyo ni kawaida! Kisha ishuhudia ikitolewa hatua hii mara mbili kabla ya hii hapo hapo OT, akiwa kocha wa Porto na Real Madrid, na sasa akiwa kocha wa MANUTD!
Hahahah
Sasa hiyo ndio inaitwa negative side of his ego. Huwa ina mfanya anagombana hadi na anao wafanyia kazi.
Amwaudhi kweli mashabiki
 
Yani Haya Maneno anayoyasema Kocha Basi Hata Kocha Wa Chandimu Kule Mbagala Hapaswi Kuyasema.
Sikiliza mwenyewe uone! This Man truly Ni Destroyer and he'll turn you Upside-down.



Mo' akipewa nafasi ya kuongea ndio utajua kua ni arrogant and stup!d yaani anapoteza mchezo wa UCL dhidi ya Sevilla pale OT alafu ana guts za kusema sio jambo geni kutokea OT,natamani aendelee kuwepo Utd ana mengi ya kuwafundisha hawa jamaa ili na sisi tuwe tunapumua sasa maana hawana ubavu tena wa kutawala soka la UK wala Ulaya biashara imeisha kama ivi tu.
 
Humu niliwahi kuongea kuhusu mbinu za mourinho na namna zinavyoua wachezaji + kutokupata matokeo....


Nilimtaja Mikitaryan kama mfano wa wachezaji mfano kwa namna mbinu za mwalimu zilivyo na zitazidi kuua viwango vya wachezaji.... Niliwataja Pogba na lukaku kama wachezAji watakaofuata kwenye orodha ya flop players chini ya mourinho.


Nilipigwa vita saaaaaaaana ila siku zote mpira ni mchezo wa wazi. Game aprroach ya mechi ya Jana ya UEFA hatua ya kwenda robo fainal ndio imeondoa imani zangu zote dhidi ya mourinho. Ni aibu mechi ya jana uje ba Game aproach sawa sawa na uchezavyo na Stoke city au . Inahuzunisha mno.



Niseme tu na ninarudia kauli yangu ile ile kuwa Chini Ya mourinho Team hii haiwezi kufika kokote kibaya zaidi tactics zake zinaondoka f viwango vya wachezaji.
 
Numbisa mdogo wangu jana ki ukwel Mourinho alibet ile mech kabisa unamuanzisha fellain ambae miez minne alikua majeruh unamuacha pogba mata na McTominay ambao walicheza vizur mech na Liverpool jana kule mbele mipira ilikua haitulii na hata final passes hazikuwa nzur
Sasa lipi ni lipi? Mbona nyie mashabiki wa manure hamueleweki !!!!!!!wengine wanalaumu why maureen kamuanzisha MF wengine wanalaumu why the pecial 1 kamtoa MF kamuingiza PP???????

Which is which???????


Kaeni kikao muje na jibu la pamoja sio mnalialia tu humu
 
Back
Top Bottom