Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pamoja na kosa la kocha. Angalia lawama za hawa wanaomlaumu kocha mmoja wao juzi juzi hapa alikua anasema man u walishinda kibahat sababu ya sub utadhan sub hairuhusiwi au wale wachezaji sio wa man u. Tusiwe kama arsenal fans,mou anakosea sana ila mechi ya jana kama tungeshinda haya makosa yake hakuna ambae angeyaona.

Lile kosa la bailly kujifunga mechi ya liverpool halikuonekana sababu ya ushindi ila kama liver wangerudisha magoli zaid na ushind juu bailly na mou wangekua kwenye lawama kubwa,juhudi zake zote zingesahaulika. Tukubali tu matokeo.
Huwezi kumlaumu EB kwa ile own goal bana,pale wa kulaumiwa aliyeruhusu kirumbirumbi kile then usirudie tena kufananisha mashabiki wa arsenal na vitu vya kijinga


Manure out....
 
Wewe mbona unakalia m...b.oo?

Wakati ni kidume!
Mkuu kwa kweli hapa umekosea na unastahili kuomba radhi kabisa wenzio wana tatizo ni muda wa kuwafariji na sio kuwazishia msongo wa mawazo,



Umetumia lugha ngumu sana
 
Kuandika kwenyewe hujui
28754171_1834516336619866_8333981324574457856_n.jpg
hivyo vitu vya kijinga ndio vinavyokuwekesha hapa kwenye uzi murua kabisa. GGMU
Huwezi kumlaumu EB kwa ile own goal bana,pale wa kulaumiwa aliyeruhusu kirumbirumbi kile then usirudie tena kufananisha mashabiki wa arsenal na vitu vya kijinga


Manure out....
 
Sauwa mashabiki wa man u tupo kwa dereva sasa wadandiaji angalien mnaposhika msije dondoka na kuumiaa eee. Tumewapa lift tu humu
29088122_1612535065526483_4398914330720993280_n.jpg

Hahaha punguza hasira mkuu,nashangaa unasema kuandika sijui lakini umesoma na umeelewa daaah




Manure out
 
Nimeumia sana jana dah nilijua tusingeenda mbali ila sio kutolewa na sevilla aisee ni aibu kubwa sana Mou ni Nyau tu kama nyau wengine atuachie timu yetu.
Tuandae vipeperushi tuandamane kwenda OT
 
Humu niliwahi kuongea kuhusu mbinu za mourinho na namna zinavyoua wachezaji + kutokupata matokeo....


Nilimtaja Mikitaryan kama mfano wa wachezaji mfano kwa namna mbinu za mwalimu zilivyo na zitazidi kuua viwango vya wachezaji.... Niliwataja Pogba na lukaku kama wachezAji watakaofuata kwenye orodha ya flop players chini ya mourinho.


Nilipigwa vita saaaaaaaana ila siku zote mpira ni mchezo wa wazi. Game aprroach ya mechi ya Jana ya UEFA hatua ya kwenda robo fainal ndio imeondoa imani zangu zote dhidi ya mourinho. Ni aibu mechi ya jana uje ba Game aproach sawa sawa na uchezavyo na Stoke city au . Inahuzunisha mno.



Niseme tu na ninarudia kauli yangu ile ile kuwa Chini Ya mourinho Team hii haiwezi kufika kokote kibaya zaidi tactics zake zinaondoka f viwango vya wachezaji.
mkuu nafikiri sina neno kabisa hili suala tushaliongea mno.
kwa sasa tunashaanza kuyaona na tutaendelea kuyaona ambayo tulishayaongea kuhusu kocha wetu
 
Jana wakati tunaangalia game kuna mtu akawa analalamika mpira tunaoucheza man utd mimi kiutaniutani nikamwambia 'wewe na mou mnautizama huu mpira kwa namna tofauti. Mou anaona tim inacheza vizuri sana wakati sisi hapa tunaona pumba tupu' na kweli bhana baada ya game mou anasema hatukucheza vibaya.

Mashabiki wa man utd tunatakiwa/tulitakiwa tujue from the moment tumemsign mou hatutakuja kucheza soka la kuvutia hata kidogo ila tutapata mafanikio mazuri tu.
 
Hivi Unarudi Safari Yako Na Unaingia Ndani Unamkuta Kidume Kimezama Kwa Mkeo Kinamgegeda, halafu Mke anakwambia "Usijali Muume Wangu, hili Kwangu Ni Jambo la Kawaida"!!!
Kama wewe ndiye Mume Utajisikiaje Kwa Kauli Hiyo??

Halafu Leo Mourinho Baada Ya Kufungwa Na Sevilla Kirahisirahisi Anawaambia Mashabiki Wa Man United "KUFUNGWA OT NI JAMBO LA KAWAIDA" 😀😀😀😀

Jamaa anawachukulia poa kweli!! 😀 Yani unafungwa ikisha anasema upotezee Kwani kufungwa Ni jambo la Kawaida!!!????
 
Hii game ya Besiktas na Bayern nzuri kuliko ya jana Manchester United vs Sevila. Besiktas wamefungwa lakini wanacheza kwa kushambulia
 
Back
Top Bottom