Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii game ya Besiktas na Bayern nzuri kuliko ya jana Manchester United vs Sevila. Besiktas wamefungwa lakini wanacheza kwa kushambulia

Njoo ule raha Anfield
Njoo tukaoshangilie team final Jijini Kiev
 
Tetesi

Mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho anatarajiwa kuzozana na maafisa wakuu wa klabu hiyo kuhusu bajeti yake ya uhamisho huku joto la wasiwasi likipanda katika klabu hiyo, Paris St-Germain huenda ikamshawishi kuhamia Ufaransa. (Mirror)

Mourinho ameamua kuhusu kuwanunua wachezaji wanne huku wachezaji saba katika kikosi chake cha sasa wakitarajiwa kuuzwa.

United imetaka kumsajili kiungo wa kati wa Chelsea na Brazil Willian mwisho wa msimu huu huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 akitarajiwa kugharimu £60m. (Sun)
 
Tetesi

Mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho anatarajiwa kuzozana na maafisa wakuu wa klabu hiyo kuhusu bajeti yake ya uhamisho huku joto la wasiwasi likipanda katika klabu hiyo, Paris St-Germain huenda ikamshawishi kuhamia Ufaransa. (Mirror)

Mourinho ameamua kuhusu kuwanunua wachezaji wanne huku wachezaji saba katika kikosi chake cha sasa wakitarajiwa kuuzwa.

United imetaka kumsajili kiungo wa kati wa Chelsea na Brazil Willian mwisho wa msimu huu huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 akitarajiwa kugharimu £60m. (Sun)
Mourinho aondoshwe mara moja otherwise anaenda kuharibi timu na wachezaji kwa ujumla
 
Tetesi

Mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho anatarajiwa kuzozana na maafisa wakuu wa klabu hiyo kuhusu bajeti yake ya uhamisho huku joto la wasiwasi likipanda katika klabu hiyo, Paris St-Germain huenda ikamshawishi kuhamia Ufaransa. (Mirror)

Mourinho ameamua kuhusu kuwanunua wachezaji wanne huku wachezaji saba katika kikosi chake cha sasa wakitarajiwa kuuzwa.

United imetaka kumsajili kiungo wa kati wa Chelsea na Brazil Willian mwisho wa msimu huu huku mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 akitarajiwa kugharimu £60m. (Sun)
60m miaka 29 huyu mzee asitake kuitia timu yetu umaskini.
 
Naona leo unafuraha SANA kuliko siku ambayo Eagles iliifunga Patriots

Nafasi ya 6? mkuu utani huo, huoni huo mlima wa tofauti ya points zilizopo hapo kati ya mtu wa 2 na wa 6

Naona leo mpaka Malafyale kaibuka, kweli Utd inafuatiliwa sana hapa Duniani

*Tofauti ya mtu wa 6 na wa 7 ni points 3, halafu wa 7 yupo vizuri sana
Mkuu leo kaeni mkao wa kula kushangilia matutusa wa North London vs Ac Milan....
 
Leo mnashinda mkuu, ondoa shaka

Komaeni kwenye hilo kombe, msimu ujao mjiunge na sisi kucheza CL
Defence ya Arsenal ilivyo utashangaa wanaruhusu 2 goals in 5 minutes. Kushinda hili kombe ni vigumu. Kuna vichwa vigumu Europa Atletico Madrid,Lazio, Borussia Dortmund na vitimu kauzu kadhaa vinavyoweza kuzamisha meli yoyote. Ngoja tuone matokeo ya leo yatakuwaje..
 
Defence ya Arsenal ilivyo utashangaa wanaruhusu 2 goals in 5 minutes. Kushinda hili kombe ni vigumu. Kuna vichwa vigumu Europa Atletico Madrid,Lazio, Borussia Dortmund na vitimu kauzu kadhaa vinavyoweza kuzamisha meli yoyote. Ngoja tuone matokeo ya leo yatakuwaje..
Arsenal inatakiwa iwe kwenye kundi moja na hizo timu ulizozitaja, hata wao inabidi wawe wanaitaja Arsenal kuwa ni kikwazo kwao kuchukua ubingwa

Suala je Arsenal ina imani hiyo?
 
Arsenal inatakiwa iwe kwenye kundi moja na hizo timu ulizozitaja, hata wao inabidi wawe wanaitaja Arsenal kuwa ni kikwazo kwao kuchukua ubingwa

Suala je Arsenal ina imani hiyo?
Kama Arsenal wanaweza kufungwa na Brighton wanaweza kufungwa na timu yoyote itakayobaki Europa. Arsenal hawana imani na lolote. Wapo wapo tu.Ngoja niwajibike..
 
Mou sio sisi tu huku Bali hata wazungu anawaudhi huko ulaya. Na De Boer nae kamtwanga shot yake kasepa. Mou ni mwana saikolojia zaidi kuliko ualimu Wa mpira.
 

Attachments

  • Screenshot_20180315-184505.png
    Screenshot_20180315-184505.png
    29.6 KB · Views: 41
  • Screenshot_20180315-184426.png
    Screenshot_20180315-184426.png
    31.2 KB · Views: 41
  • Screenshot_20180315-184417.png
    Screenshot_20180315-184417.png
    25.3 KB · Views: 41
  • Screenshot_20180315-184359.png
    Screenshot_20180315-184359.png
    18.1 KB · Views: 41
  • Screenshot_20180314-154736.png
    Screenshot_20180314-154736.png
    24.8 KB · Views: 41
Kuna wasiwasi Manchester United kwamba siku moja Glazer family watauliza wapi fedha zao zinapotumika.

Miaka mitano kabla ya Sir Alex Ferguson hajastaafu alitumia pauni 71milioni kununua wachezaji katika kipindi hicho alifanikiwa kutwaa mataji matatu Kombe la Ligi na kufanikiwa kufuzu fainali mbili za Ligi ya Mabingwa.

Lakini miaka mitano baada ya kuondoka, ametumia pauni 490milioni na mafanikio yake yakiwa ni Kombe la FA, Kombe la Ligi na Europa Ligi.

Hata hivyo hali hiyo inakuja baada ya timu hiyo kushindwa kuingia katika robo fainali ya Lihi ya Mabingwa.

Kuna sababu nyuma ya kuongezeka kwa dau hilo, kama kuongezeka kwa ada za uhamisho tofauti na ilivyokuwa kwa kikosi cha Sir Alex.

Lakini nyuma ya hilo kunaweza kumfanya Glazers kuuliza kuwa fedha haiwezi kununu mafanikio au ni jinsi fedha hizo zinavyotumika.

"Kila kitu kimebadilika," alisema Jose Mourinho Jumanne usiku wakati alivyoulizwa jinsi gani Man United itarudisha heshima yake Ulaya.

Tatizo kumebadilika kila kitu katika miaka hii mitano ndani ya Man United kuanzia makocha, wachezaji, lakini wameshindwa kushindana na Chelsea, Leicester au Manchester City katika kuwania mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England hachana na kushindana na miamba mingine Ulaya.
 
MANCHESTER United imeripotiwa kuwa katika mazungumzo mazuri na Valencia kwa ajili ya kumchukua beki, Jose Gaya, wakati huu kocha, Jose Mourinho akiwa tayari kuachana na beki wa Kitaliano, Matteo Darmian, mwishoni mwa msimu.

Gaya ambaye pia amekuwa akifuatiliwa na Chelsea na Arsenal, ameichezea Valencia mechi 106 tangu alipotinga katika kikosi cha kwanza klabuni hapo mwaka 2012 na sasa Manchester United inataka kupiga bao.
 
Kama Arsenal wanaweza kufungwa na Brighton wanaweza kufungwa na timu yoyote itakayobaki Europa. Arsenal hawana imani na lolote. Wapo wapo tu.Ngoja niwajibike..

IMG_4594.JPG

Agg:
Arsenal 5-1 Milan,Italian job was completed as planned,umeenda quarter final UEL last time kwenye mashindano ya Ulaya tulifanya 2010.
Acha tupangwe na ATM ili wengi wafurahi,i've lil' hope with my team bila kujali hizi changamoto ambazo almost kila team inapitia kwa sasa.
 
Back
Top Bottom