Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG_20180311_002503.jpg
 
Mkuu umefurahi Sana Najua, Lakini furaha yako will not last longer haki ya nani.
Katika ligi kuu ya uingereza mechi kubwa ni ya liverpool na manchester united ushindi wa mmoja wapo ktk hii mech ni sawa na kubeba epl acha kabisa mkuu hata liverpool angenifunga wiki nisingekuwa timamu ninafuraha sana mkuu hao wengine tunawafunga wanatufunga tunalazimika kuongea kwa kuwa wanaongea ila hii ni zaidi ya mechi hasa wanapokutana ma giant.
 
Wakuu sasa tunaimarika

Herrera,rojo ,pogba,martial na jones wote wagonjwa na tunachukua point 3 mourinho anajitahid fighting spirit ya timu ni ya hali ya juu mno
Mkuu bado unataja hilo jina 'Martial'
 
Wakuu sasa tunaimarika

Herrera,rojo ,pogba,martial na jones wote wagonjwa na tunachukua point 3 mourinho anajitahid fighting spirit ya timu ni ya hali ya juu mno
Ubao unasoma vizuri ila timu bado haichezi vizuri,yani kama zile mechi za mitaani (chandimu) munakusanyana kwenda kupiga game na mtaa wa jirani ni mwendu kubutua....,..sarah akigusa mpira wachezaji si chini ya watatu wanaenda kumzonga dadadeki maureen si kwa defence ile aseeh loserfool nao walikuwa wanapaka sana rangi wakiwa na mpira wanakuwa slow sana hawaoneshi hata kama wanataka goli.....

Ila Erick ni mnyama aseeeh dah sio ule ushubwada wa alexander anold.....
 
Ubao unasoma vizuri ila timu bado haichezi vizuri,yani kama zile mechi za mitaani (chandimu) munakusanyana kwenda kupiga game na mtaa wa jirani ni mwendu kubutua....,..sarah akigusa mpira wachezaji si chini ya watatu wanaenda kumzonga dadadeki maureen si kwa defence ile aseeh loserfool nao walikuwa wanapaka sana rangi wakiwa na mpira wanakuwa slow sana hawaoneshi hata kama wanataka goli.....

Ila Erick ni mnyama aseeeh dah sio ule ushubwada wa alexander anold.....
Timu nzur hushinda mkuu hamnaga kombe wala point kwa timu yenye pasi nyingi kipind cha pili mourinho alibadili mbinu ya kujilinda tofaut na kipind cha kwanza

Siku zote mchezaj hatar hukabwa haiwezekan kumwacha afunge defence yangu ilifanya kaz nzur kumkaba salah
 
Asante mkuu leo mnitolee hela yangu kabak aseno tu nimembetia

Manchester united win
Leicester city win
Newcastle win
Burnley win
Real madrid win
Barcelona win

Bado arsenal tu pliz mkuu tufanye dua.



Hakika Muhindi ataenda kusimulia kwao bombay....
 
Timu nzur hushinda mkuu hamnaga kombe wala point kwa timu yenye pasi nyingi kipind cha pili mourinho alibadili mbinu ya kujilinda tofaut na kipind cha kwanza

Siku zote mchezaj hatar hukabwa haiwezekan kumwacha afunge defence yangu ilifanya kaz nzur kumkaba salah
Naona walikuwa mpaka wanamkumbatia.....tatizo liver waliingia ktk game wakijipa nafac kubwa sana ya ushindi rashid amewaonyesha nidhamu ya soka
 
Back
Top Bottom