radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Fact mkuu walikuwa na comfidenc kubwa sana hasa wakiangalia safu ya ushambuliaji yao ile safu yote ya mbele hawajawah kutufunga goli toka enzi za van gaal ni coutinho na sturidge walikuwa na zaliNaona walikuwa mpaka wanamkumbatia.....tatizo liver waliingia ktk game wakijipa nafac kubwa sana ya ushindi rashid amewaonyesha nidhamu ya soka
