Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tetesi

Mshambuliaji wa Uingereza Harry Kane, mwenye umri wa miaka 24 ameamua kusalia katika klabu ya Tottenham kwa zaidi ya msimu mmoja lakini timu hiyo bado inakabiliana na ugumu wa kumbakiza mlinzi wa kati raia wa Ubelgiji Alderweireld, na mlinzi wa kushoto Danny Rose, ambao wote wanawaniwa na Manchester United.

Mabosi wa Manchester United wanamuunga mkono meneja wa klabu hiyo Jose Mourinho na watawapiga bei wachezaji wote wasioendana na mfumo wa mreno huyo.
 
EARLY TEAM NEWS: UNITED V LIVERPOOL
Jose Mourinho says Marouane Fellaini could be back in the Manchester United squad for Saturday’s crunch Premier League clash with Liverpool.

The Belgian midfielder has not featured for the Reds since being substituted in the second half of the 2-0 defeat at Tottenham on 31 January after undergoing surgery on an ongoing knee problem.

The boss also confirmed that defender Eric Bailly is fully fit after making only two substitute appearances since returning to the fold after three months out with a knee injury.

Speaking at his pre-match press conference at the Aon Training Complex, Jose said: "Yeah, he [Bailly] was fully fit for a couple of weeks. Yeah, but he's okay. The only one that is back to the team is Fellaini."

The boss suggested in an interview with MUTV that Anthony Martial would not be available, after missing Monday’s 3-2 win at Crystal Palace through injury.

“It’s basically the same [squad],” he said. “The people injured are recovering step by step and a few of them are very, very close to a return – but not yet. We are fine, we have a squad ready for everything. The number we choose – 23 – was to protect them and we are coping with that.”

Saturday’s eagerly awaited encounter at Old Trafford will be United’s 200th meeting with Liverpool in all competitions stretching back to 1894 – but the boss played down the significance of the historic rivalry.

“In my mentality, every match is the same,” he told his press conference. “I'm not very good on that culture - ‘this rivalry is special, that match is special’. I've never been very good at it. I never look to AC Milan has the biggest rival, I never look at Atletico [Madrid] as the enemy, I never look to Spurs or Arsenal as the big rival, I've never been any good on it.

“For me it is just a big match, two historical clubs, not just in England, but in the world. In this moment, [there are] important points for the top four, important points for second position, which is better than third or fourth place. I still don’t look to some matches as special opponents. It's just a big match, because we are speaking about two big clubs.”

Meanwhile, for Liverpool, left-back Andy Robertson, captain Jordan Henderson and midfielder Georginio Wijnaldum are in contention to return after struggling with respective injuries recently. Boss Jurgen Klopp also told his pre-match press conference on Friday that right-back Nathaniel Clyne is edging towards fitness but won't be considered for the game.

MUTV’s exclusive live build-up to United v Liverpool will start at 10:30 GMT on Saturday.
 
KEY QUOTES: JOSE'S PRESS CONFERENCE
Jose Mourinho addressed the media on Friday afternoon ahead of Manchester United’s eagerly anticipated Premier League clash with Liverpool.

The boss gave his detailed thoughts surrounding Saturday’s huge game at Old Trafford against our fierce rivals from Merseyside in his press conference at the Aon Training Complex. Read the main points below...

DESPERATE FOR VICTORY
“I want to win, of course I want to win. It's a big match, it's a big opponent. It's the team that's just behind us [in the Premier League table]. It's a team that is already in the Champions League last eight, so of course it's a big match. But, I'm not very good on that rivalry, every opponent is a rival for me.”

‘IT IS JUST A BIG MATCH’
“In my mentality, every match is the same. I'm not very good on that culture - ‘this rivalry is special, that match is special’. I've never been very good at it. I never look to AC Milan as the biggest rival, I never look at Atletico [Madrid] as the enemy, I never look to Spurs or Arsenal as the big rival, I've never been any good on it. For me, it is just a big match. Two historical clubs, not just in England, but in the world. In this moment, [there are] important points for the top four, important points for second position, which is better than third or fourth place. I still don’t look to some matches as special opponents. It's just a big match, because we are speaking about two big clubs.”

‘I KNOW WHAT IT MEANS TO THE SUPPORTERS’
“I know [the importance of beating Liverpool to the fans] but I don't think the fans will be happy if I say that Liverpool is the biggest match of the season and then Sevilla is not a big match. Everybody wants to go to Wembley for the [FA Cup] semi-finals and then I say that Brighton is not as big as the Liverpool match. My job is to prepare my players the best I can for every match, then a fan is a fan, a professional is a professional and we have to face every match with the same mentality. I don't get that a match means 10 points. No – the match is three points and Liverpool is a historical rival, yes, but in a positive way for me.”

FANS CAN GIVE US A PLATFORM TO PERFORM
“It helps. At Crystal Palace, I can imagine, if you are losing 2-0, our away fans would feel disapproval or criticism or support. We were 2-0 down and we only felt support. And at 2-1 we kept feeling more belief and, at 2-2, we were feeling they wanted us to go for it, so they can help and, of course, Old Trafford, is a huge majority of Manchester United fans, so they can help.”

NEXT THREE HOME GAMES ARE EQUALLY IMPORTANT
“I don't [know which one is more important]. Honestly, I don't. We have three matches now: Liverpool, Sevilla and Brighton. If you ask me, if I could choose one to be the most important one, I can't choose. For me, the most important one is Liverpool, because it is the next. But, the other two are knockout, the other two means we are in the Champions League quarter-finals or not and we go to Wembley in a semi-final [in the FA Cup] or not.”

REACTING TO PUNDITS’ OPINIONS ON HOW UNITED SHOULD PLAY
“Some of the guys with an opinion, they couldn't resolve their own problems when they were managers, so they are giving opinions like they have solutions for everything. But it is not like that. They are in a position where they can give opinions about everything. Sometimes I read [them], sometimes I don't, sometimes I listen. Honestly, this week I was more focused on enjoying the Champions League and Europa League and preparing for my match than focusing on opinions. But, of course, everybody has an opinion.”
 
Mechi na Liverpool ni muhimu kushinda ili kujiimarisha katika nafasi ya pili. Tuombeane heri.


Swali Hili Ninawauliza Washabiki wezangu Wa Liverpool lakini Hawanijibu, Leo Nauliza Kwenu Watani!

Hivi Man Unite na Liverpool Munagombania Nafasi ya Pili?


Kwangu Mimi Mtu akikosa Ubingwa (Nafasi ya Kwanza) Basi Nafasi Zote 19 zilizobakia Hazina Maana.

• Kikubwa Mtu Asiwemo Nafasi 3 za mwisho.
• Na awemo Katika Nne za mwanzo Bila ya Kujali Kuwa Wa Pili, Watatu au Wanne ilimradi tu ashiriki [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG].
Coz sijaona tofauti ya Kimafanikio kati ya Wapili, Watatu na Wanne.

√ Mimi Kama Liverpool Huwa Nataka Niwafunge au Nisifungwe (Draw) na Man United ili Nilinde na Nijenge Heshima tu na Wala Si Kutaka Nafasi ya Pili isiyo na Kikombe Hata Cha Kahawa.
 
Swali Hili Ninawauliza Washabiki wezangu Wa Liverpool lakini Hawanijibu, Leo Nauliza Kwenu Watani!

Hivi Man Unite na Liverpool Munagombania Nafasi ya Pili?


Kwangu Mimi Mtu akikosa Ubingwa (Nafasi ya Kwanza) Basi Nafasi Zote 19 zilizobakia Hazina Maana.

• Kikubwa Mtu Asiwemo Nafasi 3 za mwisho.
• Na awemo Katika Nne za mwanzo Bila ya Kujali Kuwa Wa Pili, Watatu au Wanne ilimradi tu ashiriki [HASHTAG]#UCL[/HASHTAG].
Coz sijaona tofauti ya Kimafanikio kati ya Wapili, Watatu na Wanne.

√ Mimi Kama Liverpool Huwa Nataka Niwafunge au Nisifungwe (Draw) na Man United ili Nilinde na Nijenge Heshima tu na Wala Si Kutaka Nafasi ya Pili isiyo na Kikombe Hata Cha Kahawa.
Mkuu ni kweli kwa timu kama Manchester united ni aibu kusema tunapigania nafasi ya pili. Kinachofanyika sasa hivi ni kuhakikisha timu inabaki top four ili ishiriki UEFA CL.
Lakini nafasi ya 2,3 na 4 hazilingani. Hizo nafasi zinatumika kuangalia mafanikio ya timu kulinganisha ilipotoka. Mfano, kwa nafasi tuliomaliza msimu uliopita, halafu msimu huu let's say tukamaliza wa pili basi itakua ni aina fulani ya improvement ingawa hatujawa mabingwa.

Apart from ubingwa, kuna vitu vingi vya kufanya analysis na vinapelekea timu kumaliza katika nafasi fulani. Mfano idadi ya magoli ya kufunga, kufungwa, idadi ya mechi za ushindi, kufungwa au draw.
So nadhani inasaidia kwenye tathmini kwa ajili ya kujipanga, na inaongeza morale.
 
Ndiyo maana huwa naheshimu sana tactics za Mourinho ..Yaliyomkuta jana Tottenham isingewezekana kwa Kocha aliye na maturity na heshima ya mpinzani ..kocha an advantage ya draw sway halafu home unaongoza ..inashindwa kufanya sub za kulinda ushindi. Hopeless spurs
Kweli labisa mkuu
 
Tetesi

Klabu ya Manchester United iko katika mawindo ya kutaka kumsajili mlinzi wa Fc Barcelona Samuel Umtiti's ambaye dau lake la kuuzwa ni pauni milioni 54.(Talksport)

Pia United wanataka kumsajili beki Sokratis Papastathopoulos, anayekipiga katika klabu ya Borrusia Dortmund na wamekuwa wakimfuatilia kwa ukaribu wiki hizi za karibuni . (Mirror)
 
RUMOURS:
Paul pogba set to miss today's crunch clash with arch-rivals liverpool due to an injury
 
"we've been rivals a long time,
The most succesful teams in english football, the most loved in the world,. The mutual respect is always there, but please make no mistake the rivarly remains.
This weekend you are coming to our fortress, our theatre of dreams your theatre of nightmares, the stretford end is calling WELCOM TO HELL LOVERPOOL.

Booyaka
619"

Haya ni maneno ya Rey Mysterio kuelekea game ya leo vs liverpool . Tunafanana dunia nzima kimaneno mashabiki wa utd

GO GO MAN UTD
GLORY GLORY MAN UTD
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
 
Kazi kazi... Pogba na Martial hawapo kikosini. Mata na Bailly wameanza.
 
Kikosi cha leo.
IMG_20180310_143713.jpg
 
Back
Top Bottom