Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Falsa
falsafa ya Mou ndio hamjaielewa na sidhani kama mtaielewa. Falsafa za mpira hutofautiana kutoka kocha kwenda kocha mwingine. Kocha wa kaliba ya Mou hawezi kuja Man United halafu nyie ndio mumpe formation ya kucheza. Kama hamkutaka falsafa yake mabosi waliompa mkataba walijua fika nini Mou anawaza na atafanya nini.

Makocha wote uliowataja kila mmoja kafukuzwa kwa makosa tofauti. Na kazi ya ukocha ndio pekee iliyobaki duniani na falsafa ya kuajiri na kufire

Mou hakufukuzwa Chelsea kwa sababu ya falsafa yake mbovu au haifai bali kuokoa jaahazi kwa sababu ya kutofautiana na baadhi ya wachezaji muhimu kwenye timu. Kwa silimia 70-80 makocha wengi hufukuzwa kwa sababu hiyo hiyo ya Mou pale Chelsea

Niseme kuhusu falsafa ya kupaki mabasi. Kila kocha anaitumia hiyo falsafa isipokuw tu hawafanyi rasmi. Mou alipohojiwa juzi juzi almuuliza muuliza swali nenda kawaulize akina Keane enzi zake akipoteza mpira katikati ya uwanja je atabaki katikati ya uwanja au atarudi nyuma kukaba? jibu ni kwamba atarudi kupaki mabasi!

Timu inayozidiwa lazima ipaki mabasi na timu nzuri obviously haiwezi kupaki mabasi bali itacheza mpira. Makocha wote wanafahamu hili

Kamuulize Luiz Felipe Scolari kocha wa Brazil kuwa angepewa nafasi ya pili ya kucheza na timu nzuri kama ya Ujerumani angeshambulia lakini pia angepaki mabasi ili asifungwe magoli ya aibu 7 kwa nunge kama yale Brazili iliyofungwa kwenye kombe la dunia la 2014

Kwa ufupi falsafa ya Mou siku zote itaonekana mbovu kwa timu mbovu na itaonekana nzuri kwa timu nzuri. Na kwa bahati mbaya falsafa zote hata hii ya Pep inakuwa mbaya kwa timu mbovu na inakuwa nzuri kwa timu nzuri.

Wewe huwezi kufikiri kwa falsafa hiyo hiyo Chelsea ya 2004 na 2005 jumlisha ile ya 2014 ilikuwa sio tu timu iliyokuwa ikicheza mpira bali pia iliyovunja rekodi nyingi za EPL ambazo baadhi ya rekodi sasa ndio inataka kuvunjwa na Man City
 
Tatizo lenu nyie vitu vidogo mnataga kuvifanya viwe vikubwa na wakati ni vya kawaida ndio tatizo la mashabiki wa Manure

Siyo kawaida mzee. Tokea Oct. 30, 1937, zao la Man United academy lazima liwepo kwenye benchi ama starting 11. Miaka 81 hiyo!

Ebu taja timu nyingine iliyofanya hivyo.
 
Umemuona lakin lukaku akikutana na timu ndogo anachozifanya?

Huyo dogo kacheza machi ipi kubwa? Nilimpanga rashford kakutungua toka academy nimempanga scott kampumzisha hazard toka academy huyo lingard kakutungua toka academy huyo

Endelea kuugulia maumivu hich kikao sio level yako kuanzia leo nakupuuza.
 
Siyo kawaida mzee. Tokea Oct. 30, 1937, zao la Man United academy lazima liwepo kwenye benchi ama starting 11. Miaka 81 hiyo!

Ebu taja timu nyingine iliyofanya hivyo.
Wanachoweza ni kufukuza madogo kwa mikopo hata solanke aliona upuuzi katimkia liverpool.
 
“Jesse Lingard is going to be some player. He is 19, came through our youth system and is built like Jean Tigana was for France. But he never got into the limelight there until he was about 24, and I think that will be the same with Lingard.”

- Sir Alex Ferguson in 2012
 
Nilisema nimeshajitoa rasmi kwenye ubishani wa suala la MOU
 
Siyo kawaida mzee. Tokea Oct. 30, 1937, zao la Man United academy lazima liwepo kwenye benchi ama starting 11. Miaka 81 hiyo!

Ebu taja timu nyingine iliyofanya hivyo.
Dhisi izi yunaitedi linapokuja suala la takwimu na ukweli achilia mbali rekodi.
 
Essien amesajiliwa na KENYON wakati anataka kuja Manchester akamuiba. Drogba waulize Liverpool alichowafanya wakati yupo Marseille hadi wanaingia Fainal ya EUFA CUP na VALENCIA. Jesse Lingard zao la Van Gaal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…