Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Smalling yuko vizuri sana..mechi tatu za mwisho amecheza VIZURI SANA.,huwezi kwa namna yoyote kumuweka nje eti acheze Baily ambaye katokea majeruhi ya muda mrefu. Young ni mzuri ni mkongwe mechi ngumu hizi huwa anakuwa mgumu sana, naona ndio pekee anamkaribia Valencia.

Ulikandia ni kwanini Martial kaanza na ukasifia kuanza kwa Young na Smalling? Hawa wachezaji wawili wanaopigiwa kelele na kila shabiki wa Man United.
 
Ushindi safi nimefurahi kwa kweli na bado imani yangu inaniambia United tuna kikosi kizuri sana ni Mou tu kuamua kuwa na mfumo unaoeleweka, Pogba kaupiga safi sana Lingamessi kama kawaida yake ndo anaetuokoaga kwenye hatari .
Na huyu Lukaku ni kwanini anapenda kuzifunga timu ndogo, kubwa hafungi anakera kweli .
 
Mbona picha hakuna

c1900ce8e65e9b57e412abc508906613.jpg
 
Back
Top Bottom