Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1.Msimu bora wa Herrera akiwa United ni last season (2 goals+11 assist) akiwa chini ya Mourinho mpaka akachaguliwa mchezaji bora wa United akaitwa Spain national timu kwa mara ya kwanza na tukawa tunasema anastahili kupewa unahodha ubora wa mchezaji sio kufunga magoli tu last season Kante ndio alikuwa mchezaji bora wa EPL sidhani kama alifikisha hata magoli 4

2. Issue ya Forlan naona list ya striker ni Solskjaer,Nistelrooy kumbuka hiyo ni era ambayo United ilikuwa inapambana makombe 4 na Solskjaer alikuwa kashazeeka alikuwa majeruhi muda mrefu kumbuka SAF alikuwa anachezesha 2 striker(4-4-2)

3.Nakushangaa unasema Di Maria alipata sana injury,nakumbuka Di Maria aliumia mara moja tu akiwa United
Mkuu una uhakika ole gunnar solskjaer mwaka 2002 alikuwa Mzee yaani MTU aliezaliwa mwaka 1973 kwa mwaka 2002 alikuwa na umri wa miaka 29 umamuita ni Mzee , Basi kama ni hivyo na Sanchez ni Mzee ...



Hahahah
 
Mkuu una uhakika ole gunnar solskjaer mwaka 2002 alikuwa Mzee yaani MTU aliezaliwa mwaka 1973 kwa mwaka 2002 alikuwa na umri wa miaka 29 umamuita ni Mzee , Basi kama ni hivyo na Sanchez ni Mzee ...



Hahahah
I doubt hata kama ulimwona Solskjaer,alisajiliwa 1996-1997 so 2002 tayari alikuwa ameshacheza misimu 6 na most of his career alikuwa anaingia sub na miaka ya mwisho muda mwingi alikuwa majeruhi ndio maana aliamua kustaafu
 
I doubt hata kama ulimwona Solskjaer,alisajiliwa 1996-1997 so 2002 tayari alikuwa ameshacheza misimu 6 na most of his career alikuwa anaingia sub na miaka ya mwisho muda mwingi alikuwa majeruhi ndio maana aliamua kustaafu



Kumuona au kutokumuona akicheza kunapunguza na kuongeza nini kwenye mada husika
Sasa naelewa nabishana na MTU wa aina gani , unaruka ruka tu ... Umesema ole gunnar solskjaer mwaka 2002 wakati Forlan anasajiliwa alikuwa ni mzee. Nikakwambia mwaka 2002 ole gunnar solskjaer alikuwa na miaka 29 Je, kwa uelewa wako umri huo anastahili kuitwa mzee ... Hujanijibu unakuja na hoja zako za mambo ya ole gunnar solskjaer kuwa super sub.

solskjaer alistafu soka kama so kutundika daluga mwaka 2007 akiwa na miaka 34 , umaposema alistaafu kwa sababu ya injury (Nakubaliana na wewe ) ila kwa huo umri huoni kwamba ndio ilikiwa muda sahihi wa yeye kustaafu ??.?
 
Sasa naelewa nabishana na MTU wa aina gani , unaruka ruka tu ... Umesema ole gunnar solskjaer mwaka 2002 wakati Forlan anasajiliwa alikuwa ni mzee. Nikakwambia mwaka 2002 ole gunnar solskjaer alikuwa na miaka 29 Je, kwa uelewa wako umri huo anastahili kuitwa mzee ... Hujanijibu unakuja na hoja zako za mambo ya ole gunnar solskjaer kuwa super sub.

Siko hapa kubishana na mtu ,Kama wewe unabishana na mimi uko sawa .Nimekuuliza kupaki bus kwako ni nini sijaona jibu mpaka sasa
 
Nakubaliana na wewe Fabian delph hakuflop , kwahyo unataka kuniambia Valencia aliflop ???? Unaukumbuka msimu Wa mwisho Wa sir Alex furguson ??? Valencia alikuwa miongoni Mwa wachezaji waandamizi waliofanikisha Van PerSie kubeba kiatu cha dhahabu. Kwa taarifa yako Valencia hakushuka kiwango kama sababu ya kuchezeshwa namba mbili. Ni ubishi Wa Van Gal kumuuza Rafael na Kumsajili Memphis Depay.


Depay alisajiliwa ili aje kucheza namba saba aliyokuwa anacheza Valencia hivyo basi Valencia alirudishwa nyuma kucheza namba mbili aliyokuwa akiicheza Rafael Dos Santos. From there Valencia amekuwa na "consistency performance" kama ilivyo kwa David De Gea. Leo kuja kusema Valencia alishuka kiwango ni kumkosea heshima.




Sasa turudi kwa hao Wakina Luke shaw, Smalling na Jones.

Ni ukweli usiopingika kuwa Smalling ni mchezaji Wa kawaida tena sanaaaaaa. Kama una mchezaji Wa kawaida kama Smalling na unacheza defensively what do you expect ??? .. Hapa ndipo Mbinu za Mwalimu zonapochunguzwa. Unapokuwa na average defender kama Smalling na bado unacheza kwa kupack bus Nani Wa kulaumiwa???. Yani ni sawa na unajijua una kigugumizi unaleta ubishi Wa maneno na mzaramo lazima uumie tu. Morinho hajui aina ipi ya wachezaji aliyo nayo wanastahili aina ipi ya uchezaji.

Unapokuwa na mabeki uchochoro kama Smalling dawa ni kucheza kwa kuattack attack attack attack ili kupunguza presha kubwa golini kwako zinazoweza kuzaa magoli. Unamfahamu Gerald Pique kwangu Mimi ni beki Wa kawaida saaaaaaaaaaaaaaaana kinachombeba tangu enzi za Giardiola pale Barcelona ni ile "Total football " na attack attack attack ya Barcelona inayowapunguzia mabeki presha kubwa golini. Issue ni mourinho siwezi kulaumu wachezaji kwa sababu hao wakina Jones na Smalling walokuwepo tangu enzi za babu na wameshabeba vikombe kadhaa.

Kama Mourinho anampiga benchi Rojo dhidi ya Smalling unategemea nini??? Nani tumlaumu ????



Nije kwa Ashley young napingana na wewe 100% kuwa alichezeshwa namba tatu kwa sababu ya kushuka kiwango... Nenda kaangalie misimu miwili ya Kocha Van Gal winga aliekuwa anacheza kushoto ni Nani. He had a fantastic performance ... Nenda kaangalie league review kule you tube. Hata msimu huu kuna baadhi ya mechi unanona kabisa kama Ashley young akiachwa acheze kama winga tutapata matokeo yake mazuri kuzidi anavyochezeshwa kama beki Wa kushoto.



Jamani tukubali tukatae na nirudia ile kauli yangu " Mourinho hana mbinu za kuivusha hii team" , mwisho Wa siku mbinu zake za hovyo zinapelekea wachezaji kuonekana Wa hovyo....


Una mabeki Young , Smalling ,Jones na Valencia halafu unapack basi. Huu ni ujinga ambao hauwezi kufanywa hata na kocha Wa lipuli.
Mashabiki wa Man U hamna shukurani kabisa. Timu imetoka kwa David Moyes ikiwa hoi, ikaja kwa VanGaal akajitahidi bila mafanikio, JOMO ameiwezesha timu kuchukua kombe muhimu la Ulaya na kuiwezesha pia kuingia UEFA na Mungu si Athumani Man U inaweza ikabeba kikombe cha Championship. Kwenye ligi iko nafasi nzuri ya pili. Hata Mungu akiichukua Man U hataweza kutimiza mahitahi mnayotaka. Overnight timu haiwezi kurudi kama enzi za Ferguson. Kumbuka huyo huyo JOMO ndie aliyeisuka Chelsea na kuwa timu mojawapo kubwa kwenye EPL tangu alipojiunga kwa mara ya kwanza 2004. Hii Chelsea anayotamba nayo Conte ndie aliyeiunda 2014 aliporudi akitokea Real Madrid. Msipompa muda aisuke timu atawaachia na kuchukua chenji yake na who knows atakayekuja atafanya nini?
 
Mashabiki wa Man U hamna shukurani kabisa. Timu imetoka kwa David Moyes ikiwa hoi, ikaja kwa VanGaal akajitahidi bila mafanikio, JOMO ameiwezesha timu kuchukua kombe muhimu la Ulaya na kuiwezesha pia kuingia UEFA na Mungu si Athumani Man U inaweza ikabeba kikombe cha Championship. Kwenye ligi iko nafasi nzuri ya pili. Hata Mungu akiichukua Man U hataweza kutimiza mahitahi mnayotaka. Overnight timu haiwezi kurudi kama enzi za Ferguson. Kumbuka huyo huyo JOMO ndie aliyeisuka Chelsea na kuwa timu mojawapo kubwa kwenye EPL tangu alipojiunga kwa mara ya kwanza 2004. Hii Chelsea anayotamba nayo Conte ndie aliyeiunda 2014 aliporudi akitokea Real Madrid. Msipompa muda aisuke timu atawaachia na kuchukua chenji yake na who knows atakayekuja atafanya nini?
Nimekuelewa sana. Asante!

Wakati mwingine Mourinho anaonewa sana. Mtu kabaki na kipa anapaisha au kumpelekea mikononi, hapo Mou analaumiwa vipi?

Mtu anapoteza mpira akiwa kwy move ya kushambulia alafu hakabi...Mou anahusikaje hapo tofauti na kumpiga bench??

Mie bado naamini Mou ataipatia tu style nzuri na humu ndani itabakia vicheko tu na kuchagua timu gani ngumu tucheze nayo hata friend match.
 
Nimekuelewa sana. Asante!

Wakati mwingine Mourinho anaonewa sana. Mtu kabaki na kipa anapaisha au kumpelekea mikononi, hapo Mou analaumiwa vipi?

Mtu anapoteza mpira akiwa kwy move ya kushambulia alafu hakabi...Mou anahusikaje hapo tofauti na kumpiga bench??

Mie bado naamini Mou ataipatia tu style nzuri na humu ndani itabakia vicheko tu na kuchagua timu gani ngumu tucheze nayo hata friend match.
Mashabiki wa Man U hamna shukurani kabisa. Timu imetoka kwa David Moyes ikiwa hoi, ikaja kwa VanGaal akajitahidi bila mafanikio, JOMO ameiwezesha timu kuchukua kombe muhimu la Ulaya na kuiwezesha pia kuingia UEFA na Mungu si Athumani Man U inaweza ikabeba kikombe cha Championship. Kwenye ligi iko nafasi nzuri ya pili. Hata Mungu akiichukua Man U hataweza kutimiza mahitahi mnayotaka. Overnight timu haiwezi kurudi kama enzi za Ferguson. Kumbuka huyo huyo JOMO ndie aliyeisuka Chelsea na kuwa timu mojawapo kubwa kwenye EPL tangu alipojiunga kwa mara ya kwanza 2004. Hii Chelsea anayotamba nayo Conte ndie aliyeiunda 2014 aliporudi akitokea Real Madrid. Msipompa muda aisuke timu atawaachia na kuchukua chenji yake na who knows atakayekuja atafanya nini?
Daudi hawezi kuwaelewa, kuna mwana mwaka jana bahati mbaya simkumbuki ID yake alifikia hatua ya kuomba tusichukue europa ili tusicheze uefa ye apate cha kuongea, toka tulipochukua lile kombe sijawahi muona tena humu jukwaani.

Nitamlaumu mourinho kwa style tunayocheza baadhi ya mechi lakini sitamlaumu yeye kuona akina smalling bado wapo kwenye timu yetu. Kama nilivoongea kwenye post moja hapo juu tunawachezaji ambao hata west brome hawapati namba alafu unataka tukimbizane na timu kama man city au Madrid ambayo baadhi ya wachezaji wao kikosi cha pili wanaweza wakaja straight kwenye first eleven yetu.

Tupo nafasi ya pili, bado tupo uefa, bado tupo FA cup, toka kafika katupatia makombe mawili tayari moja likiwa kombe ambalo hata Ferguson alishindwa kutupa, alafu anaonekana hafai, raia sijui wanataka nini?
 
Daudi hawezi kuwaelewa, kuna mwana mwaka jana bahati mbaya simkumbuki ID yake alifikia hatua ya kuomba tusichukue europa ili tusicheze uefa ye apate cha kuongea, toka tulipochukua lile kombe sijawahi muona tena humu jukwaani.

Nitamlaumu mourinho kwa style tunayocheza baadhi ya mechi lakini sitamlaumu yeye kuona akina smalling bado wapo kwenye timu yetu. Kama nilivoongea kwenye post moja hapo juu tunawachezaji ambao hata west brome hawapati namba alafu unataka tukimbizane na timu kama man city au Madrid ambayo baadhi ya wachezaji wao kikosi cha pili wanaweza wakaja straight kwenye first eleven yetu.

Tupo nafasi ya pili, bado tupo uefa, bado tupo FA cup, toka kafika katupatia makombe mawili tayari moja likiwa kombe ambalo hata Ferguson alishindwa kutupa, alafu anaonekana hafai, raia sijui wanataka nini?
Najitoa rasmi kwenye mjadala kuhusu mourinho .. Nimeeeleza saaaaaaaana kwa kina kuhusu unsuitability ya Mourinho pale Manchester united ....


Naona watu Wengine mnajikita kwenye vikombe alivyotupa Mourinho kama sababu ya ubora na asitimuliwe.. Come oooooooon
Wenger hajawahi kuwapa arsenal vikombe ,hivi mnaikumbuka unbeaten run ya arsenal kubeba ubingwa bila kufungwa ???


Carlo anchelot alipigwa chini Bayern Munich alikuwa hajawapa vikombe??


Huyo Jose Mourinho alipigwa chini Chelsea na Madrid alikuwa hajawapa vikombe ??..


Hivi Claudio Raniel kocha wa zamani wa Leicester city alivyofukuzwa alikuwa hajawapa ubingwa leiciter city ????

Unamtambua Manuel Pellegrin kocha wa zamani wa man city , hakuwahi kuwapa vikombe the cityzens???


Hivi unadhani Ferguson kabla ya kustaafu hakuwahi kupitia kashikashi za kufukuzwa baada ya vipindi flan vigumu???


Futa hayo Mawazo kuwa kocha kuchukua vikombe ni kikwazo cha kocha kutofukuzwa. Kocha hudumu kikosini kwa sababu ya "Good existing Performance" Basiiiiiii hizo record hazina maana timu inapokuwa haichezi vizuri na haina muelekeo wa kuchukua vikombe.

Mimi hata sikuelewi unaposema utamlaumu Mourinho ila hutamlaumu kwa kumuona Smalling akiwa kikosini .
Sasa ndugu yangu kama kocha anamuweka benchi Marcus Rojo na kumuanzisha Smalling huoni kama hizi ni shutuma za kutupiwa Mourinho???? Kama wewe na Mimi tunaona kasoro za Smalling na kocha bado anazidi kumuamini Nani wa kulaumiwa ???


Ni kweli tupo UEFA, FA na EPL tuko Nafasi ya pili , ila tambua ligi bado inaendelea na kwa kiwango hiki Mimi binafsi siamini kama tutamaliza Nafasi ya pili EPL. First Leg ya UEFA vs Sevila imeshatuonesha uelekeo wa team yetu. Siioni Timu ikifika Fainali UEFA. Sidhani kama tuna ubavu wa kuwa na msuli wa kuwazuia Madrid,Mancity au Bayern. Kubali au kataa. Kikombe pekee tulicho na uwezo wa kukichukua msimu huu ni FA.





Nawakumbusha tena na tena na tena na tena .... Mourinho hana uwezo wa kimbinu kuivusha team yetu kufika pale tunapotaka ifike.


Muda utaamua kwa sababu mpira ni mchezo wa Wazi
 
Hakuna kitu kinanikera na kunichefua kama kuona Liverpool ambayo ina wachezaji wa kawaida kabisa inatandaza soka safi kuliko sisi wenye wachezaji wanaoeleweka kabisa.

Ni kiungo gani pale liver wa kumfananisha na Matic, Herrera, na pogba?




Mkuu Kuhusu kusubiri team ya Mourinho itandaze soka ni sawa na kuisubiri Bambadier Ubungo
 
Hakuna kitu kinanikera na kunichefua kama kuona Liverpool ambayo ina wachezaji wa kawaida kabisa inatandaza soka safi kuliko sisi wenye wachezaji wanaoeleweka kabisa.

Ni kiungo gani pale liver wa kumfananisha na Matic, Herrera, na pogba?

😀 😀 😀 Matic, Herrera na Pogba!!!

Mkuu Ni Can, Ox na Millner 😀 😀 😀 Sema tu Hawatumii Muda Mwingi Kwa Kulinda, Bali hutumia Muda Mwingi Kwa Kushambulia, na Muda Mchache Ndiyo Wanalinda.
😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom