Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

70113a339ffb3b77884d7fa2e56762e2.jpg
Ina maana gani ?
 
Hapana ushindi wa mechi moja hauwezi kutufanya kubadilisha mawazo juu ya Kocha Mou anajihami sana na hii imekuwa kawaida yake.

Ifike hatua wachezaji wacheze mpira wa kushambulia huku wanalinda sasa tukikaa kulinda Bila kufanya mashambulizi lazima Timu itakuwa mbovu kupindukia.

Ushindi wa leo na kesho hauwezi kunifanya niamini Mou ni chaguo sahihi kwa Man U.
Nenda kafund8she wewe !!!
Kila kocha ana falsafa/mbinu zake km unataka soka la kushambulia hamia Liverpool kwa Klopp hadi siku Mou aondoke
 
Hahaha !! leo hamna blaa blaaa waswahili wanasema ukipata furahi ukikosa jutia wacha leo tufurahi sisi hahahahhahha weeeeeitaaaaaaaa mpe kila mmoja !!!

Kesho naingiaje kidume kaziniii watanikomaaaa! !!!!
Hahaha kweli sister.
 
Na Ndiyo Nipo Hapa Navizia Zile Kauli Za "MOURINHO SI KOCHA"...
Mie natamka kocha anayetembelea nyota za wachezaj wanaojituma kama enzi za kina lampard drogba essien deco lakini sio kocha wa wachezajii wa kawaida
 
Kuna watu wanalaumu Mourinho kumtoa Sanchez na kumuingiza Bailly. Ile move ilikua ni lazima kwa sababu Conte alimtoa Moses akamuingiza Giroud kuongeza mashambulizi. So Bailly nae aliingia kwenda kuongeza ulinzi. Simple like that.
Sasa kuuliza why alimtoa Sanchez asimtoe mchezaji mwingine hilo ni suala na maamuzi ya kocha.
Hata hivyo Sanchez alikuwa amepwaya. Ilikuwa ni haki kumtoa.
 
Hapana ushindi wa mechi moja hauwezi kutufanya kubadilisha mawazo juu ya Kocha Mou anajihami sana na hii imekuwa kawaida yake.

Ifike hatua wachezaji wacheze mpira wa kushambulia huku wanalinda sasa tukikaa kulinda Bila kufanya mashambulizi lazima Timu itakuwa mbovu kupindukia.

Ushindi wa leo na kesho hauwezi kunifanya niamini Mou ni chaguo sahihi kwa Man U.
Timu haishambulii kwamba Man U inafungaje bila kushambulia?? Au inafunga kwa ile mipira ya goal kick???
 
Mie natamka kocha anayetembelea nyota za wachezaj wanaojituma kama enzi za kina lampard drogba essien deco lakini sio kocha wa wachezajii wa kawaida
Kwa ule usajili wa city nae pep ni kocha wa kundi lipi?
FB_IMG_1519576320731.jpg

Huyo dogo ni level za wakina Mondric au kroos
FB_IMG_1519583053232.jpg


Toka aje mourinho huyu dogo kama sijakosea anatafuta goli la 9 ktk msimu je ni wa level ipi?
Kuna muda tusiwe watu wa kuponda tu

Mourinho kamtoa drogba france nani alikuwa anamjua? Kamtoa essien nani alikuwa anamjua je hao ni wachezaji ambao walikuwa wanajulikana kidunia ukubwa wa majina yao kabla ya mourinho kuwasajili?
Hao wote walikuwa wachezaj wa kawaida tu ni namna kocha anaweza kuwajenga kuwa wachezaj wakubwa.
 
Back
Top Bottom