Game Yenu Ya Jana imepambanua Baina Ya WAKOSOAJI na WALAUMUJI.
WAKOSOAJI (CRITICS):
Hawa Hufanya analysis zao Na Kuangalia Tatizo Husika la Timu (Wachezaji), Kocha, Board na Wamiliki.
Ukosoaji Katika Soccer si Jambo Baya Kwani lina nia Ya Kujenga na Wala si Kubomoa.
Na inapotokezea Timu Kushinda Mchezo Haimaanishi Kuwa Timu, Kocha Board na Wamiliki Hawana Matatizo! Kwahiyo Wakosoaji huwepo Kama Kawaida Kwa Ajili Ya Kuchambua Weakness zilizojitokeza.
UKOSOAJI SI CHUKI BALI NI UCHAMBUZI.
WALAUMUJI (BLAMERS):
Hawa Hulaumu Pale Timu inapotoka Sare au Kupoteza Mchezo tu na Kushambulia wachezaji na Kocha.
Lakini Timu inaposhinda Mchezo Mmoja tu (Mfano Jana), Huwaoni Wakifanya Analysis yoyote hile wala Hawalaumu na Huishia Kujificha au Huja Kusifu Kuwa Timu imeshakaa Sawa na imepiga Mpira Wa Maana. Lakini Subiri Next Timu ikidraw au Kutoka Sare uone kauli zao (Mourinho Hafai, Martial Aekwe Bench, Nani aliyeshauri anunuliwe Lukaku, Smalling na Young Hawafai Kucheza Man United, Valencia Mbovu, Pogba aekwe Bench, n.k.)
KWAHIYO KWA WALE CRITICS NI KUJIPOTEZEA MUDA MUNAPOBISHANA NA WALAUMUJI.
Kwani Walaumuji si Wachambuzi Bali Ni Wachafuzi.