Tetesi
Kiungo wa kati mfaransa Paul Pogba yuko tayari kuondoka Manchester United ikiwa meneja Jose Mourinho ataendelea kuwepo Old Trafford. (Sun on Sunday)
Manchester United ni kati ya vilabu vikuu vinavyomtazana kiungo wa kati wa Lazio raia wa Serbia, Sergej Milinkovic-Savic, ambaye ambaye thamani yake huenda ikawa pauni mioni 80. (Sunday Mirror)
Meneja wa zamani wa Manchester United Louis van Gaal, huenda akachukua mahala pake Antonio Conte, huko Chelsea ikiwa uhusiao wake na Chlesea utazorota zaidi. (Sunday Mirror)
Kipa wa Manchester United na Uhispania David de Gea anataka mshahara wa paunia 350,000 kwa wiki ili kusalia huko Old Traford.
Kipa huyo mwenye umri wa miaka 27 analipwa pauni 180,000 kwa wiki laki yuko nyuma wa Mchile Alexis Sanchez, anayelipwa pauni 505,000 kwa wiki. (Sun on Sunday)