Kuwa mvumilivu ndugu, game ya kushinda hii.Hakuna kitu hapa..tunachapwa tena. Kwa namna yoyote huwezi kuniambia Martial anamuweka benchi Mata. Upuuuzi huu.
na nyie mpo busy na FA na refa wenu Atkinson mnapanga jinsi atakavyozuia wachezaji wenu wasipewe red card, kutunyima penalty na kuhakikisha mnashinda hata kwa goli la mkono.Wakuu habari zenu naona mmetulizana hapa mnapanga kuweka basi na kumtumia mshambuliaji wenu de gea maana kila saa anasikika yeye tu
Mpumbaf sana huyu kocha. Hii mechi kubwa.kashuridia ungese wake wa martial kutokea kulia

Smalling yuko vizuri sana..mechi tatu za mwisho amecheza VIZURI SANA.,huwezi kwa namna yoyote kumuweka nje eti acheze Baily ambaye katokea majeruhi ya muda mrefu. Young ni mzuri ni mkongwe mechi ngumu hizi huwa anakuwa mgumu sana, naona ndio pekee anamkaribia Valencia.hamna ki2 hapo ! huyo young,smalling na martial kutokea kulia watazingua sn
Hakuna kitu hapa..tunachapwa tena. Kwa namna yoyote huwezi kuniambia Martial anamuweka benchi Mata. Upuuuzi huu.
Ni mchezaji wa kawaida sana kiwango kidogo, utoto mwingi na kibaya zaidi tabia yake ya kusimama kule mbele wakati wenzake wanakaba mipira chini. Anaetakiwa kubaki pale mbele ni Lukaku peke yake lakini pamoja na hayo huwa anarudi nyuma kusaidia na kuchukua mipira.Hivi mkuu Martial alikukosea nini? "achana na kumweka benchi Mata"
Ni mchezaji wa kawaida sana kiwango kidogo, utoto mwingi na kibaya zaidi tabia yake ya kusimama kule mbele wakati wenzake wanakaba mipira chini. Anaetakiwa kubaki pale mbele ni Lukaku peke yake lakini pamoja na hayo huwa anarudi nyuma kusaidia na kuchukua mipira.
bein sport 2 mobdromwenye link ya game atupie humu please
Hana mchango mpaka sasa dakika ya 14 beki Young kashapanda na kupiga krosi mbili (ingawa zilikuwa mbovu) yeye yuko pale kama winga anarukaruka tu hajafanya chochote Beki anatoka nyuma anakuja kumpiku!!!Kama matatizo yake ni hayo, si yanatatulika lakini
Vipi kuhusu mchango wake kwenye timu? au hana

