Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Salamu zenu wakuu kabla kesho haijafika
Ona sasa hao viungo wenu mkuu😀😀😀 Lakini mnaupiga mwingi. Sisi viungo boora kabisa ati tunajilinda.😵😀 😀 😀 Matic, Herrera na Pogba!!!
Mkuu Ni Can, Ox na Millner 😀 😀 😀 Sema tu Hawatumii Muda Mwingi Kwa Kulinda, Bali hutumia Muda Mwingi Kwa Kushambulia, na Muda Mchache Ndiyo Wanalinda.
😀 😀 😀
Cyo 2020Mkataba wake unaisha 2020 na una kipengele cha kuongeza mwaka mmoja.
Ha ha ha ha![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu Kuhusu kusubiri team ya Mourinho itandaze soka ni sawa na kuisubiri Bambadier Ubungo
Mechi na Seville mliniboa sanaaOna sasa hao viungo wenu mkuu😀😀😀 Lakini mnaupiga mwingi. Sisi viungo boora kabisa ati tunajilinda.😵
Kumbe wewe ni mwehu Jordan herndason the captain utamlinganisha na hao mbwa wako?Hakuna kitu kinanikera na kunichefua kama kuona Liverpool ambayo ina wachezaji wa kawaida kabisa inatandaza soka safi kuliko sisi wenye wachezaji wanaoeleweka kabisa.
Ni kiungo gani pale liver wa kumfananisha na Matic, Herrera, na pogba?
Kijana mimi sio mhuni mwenzio tafadhali.Kumbe wewe ni mwehu Jordan herndason the captain utamlinganisha na hao mbwa wako?
Kama sio muhuni utaanzaje kulinganisha herndason na hao vibaka?Kijana mimi sio mhuni mwenzio tafadhali.
Hapa huwa najadili na watu wenye lugha za kistaarabu tu!
Acha kutuchafulia Uzi Wetu Kama huwezi kuwa na "staha" na ukashindwa "kuserereka" Kama si "kutiririka" kibusara tunakuomba utuachie Uzi Wetu.Kama sio muhuni utaanzaje kulinganisha herndason na hao vibaka?
Mkuu kausha usitake tuzinguaneAcha kutuchafulia Uzi Wetu Kama huwezi kuwa na "staha" na ukashindwa "kuserereka" Kama si "kutiririka" kibusara tunakuomba utuachie Uzi Wetu.
Usitutafutie Ban za Bure
We ndio ukausheMkuu kausha usitake tuzinguane
Mwanangu chunga sana kubishana na mimi ni kuji risk take careWe ndio ukaushe
Le PoveëMwanangu chunga sana kubishana na mimi ni kuji risk take care
Nimeshambonyezea kitufe cha "ignore" huyo mhuni mkuu, watu kama hao siku hizi hawanisumbui.Acha kutuchafulia Uzi Wetu Kama huwezi kuwa na "staha" na ukashindwa "kuserereka" Kama si "kutiririka" kibusara tunakuomba utuachie Uzi Wetu.
Usitutafutie Ban za Bure


