Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tumecheza pira bovu sana.

In short bora tuishie hapa tu huko mbele kwa form hii tutaenda kupata aibu
 
5ee6bde13ab332ac80546a207e7d067b.jpg
daaaaaaahhhhh huu ni mzurulo
Kocha wako wenger ana makombe mangap na hizo takwimu

Jana barcelona kaupigwa mwingi goli anakoswa yeye kuna muda hayo hayana maana
 
Hii timu ni mbovu, mijitu inatoka mijasho muda wote then shot on target 2.... hovyo kabisa.
 
tulieni wadau kumbukeni this is champions league na tupo ugenini
Hiyo ni sababu ndogo sana tote alikuwa ugenini tena kwa juve ka score na akapiga mpira mwingi sana pale turin liver ugenini kwa porto ka score... Sasa level ya juve na sevilla huwez fananisha hata kidogo juve is the best lakin alilazimishwa kuchomolewa goli 2.... Kiukweli timu yetu tukubali inamapungufu saana tu hasa katika mbinu hakuna ubunifu kabisa...
 
Back
Top Bottom