Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huu mpira wanauweza wanaume wapambanaji kama Herrera, game ina viatu vya chini kwa chini.Pogba anapambana lakini ni kwa game za aina nyingine. majukumu aliyopewa yanaweza kuwa tofauti na anachokifanya,labda JM abadili mbinu ama amtoe.
 
Wanatuonea huruma ya nini? Si watufunge tu jamani??? Najuta kuacha usingizi kwa ajili ya huu upuuz wanaofanya akina pogba
 
Rashford in for Sanchez...safi sana huyo Martial aozee benchi huko mpaka ajue kwanza mpira.
 
Itakuwa ni vizuri zaidi kama ikitokea tutatoka sare, iwe sare ya magoli (1-1, 2-2, 3-3)

Sare ya 0 - 0 ina changamoto sana, kwani Sevilla wakifunga goli 1 ndani ya Old Traford itabidi Utd tushinde hiyo mechi ili tuweze kufuzu

Ila itakuwa ni vizuri zaidi kama tutaweza kushinda mechi hii ya leo
 
5ee6bde13ab332ac80546a207e7d067b.jpg
daaaaaaahhhhh huu ni mzurulo
 
Back
Top Bottom