Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Valencia muda wote yupo nje ya nafasi yake uchochoro balaa hana mech mzur toka kwa newcastle
 
Mpaka sasa De Gea super ndo man of the match first half sio kwa save hizi aseee.
Hivi tumefanya attempt ya maana hata moja au tunakimbia kimbia tu humu uwanjani???
 
Nlishawai sema valencia hafai kuwa captain.kwanza hana ile kupanga wenzake wala haongei kabsa fala sana uyu bwege
 
Wajuaji wengi humu jamani mtuachie timu yetu wenyew tumeinywea maji ya bendera kabisa
 
Analaumiwa Valencia.Ander alikuwa anamsaidia sana kukaba upande wa kulia,.Pogba Kaingia kamfata sanchez kushoto. mata yupo nyuma ya lukaku ni sawa.nani anamsaidia valencia?
 
Man u nitimu yangu lakini kwa performance hii ni bora tukatoka mapema mana huko mbele tutakuja aibika vibaya.
 
Analaumiwa Valencia.Ander alikuwa anamsaidia sana kukaba upande wa kulia,.Pogba Kaingia kamfata sanchez kushoto. mata yupo nyuma ya lukaku ni sawa.nani anamsaidia valencia?
Mkuu hili swali tumuulize JM kwakwelii mm sielewi JM anafundisha mfumo gan na kwa teknik zipi mpaka hawa sevilla wanatupeleka kipumbavu hivi
 
Team haipandishi mashambulizi wakipata mpira wanarudisha nyuma ni mwendo wa kushambuliwa tu hadi tutie adabu
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
 
Hivi Hili Likocha si lipate hata Safari ya Miezi miwili, Jinga sana Yaani Man U inacheza kama JKU.


Mou ananiboa sana.
 
Back
Top Bottom