Gwakukahja
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 1,119
- 740
Basi ni nchi nzima maana hata hapa mbeya wamekatamkuu upi wapi maana hata mi niliko tanesco wanafanya yao
Basi ni nchi nzima maana hata hapa mbeya wamekatamkuu upi wapi maana hata mi niliko tanesco wanafanya yao
Hali teteItakuwa ni vizuri zaidi kama ikitokea tutatoka sare, iwe sare ya magoli (1-1, 2-2, 3-3)
Sare ya 0 - 0 ina changamoto sana, kwani Sevilla wakifunga goli 1 ndani ya Old Traford itabidi Utd tushinde hiyo mechi au tutoke sare ya 1-1, twende extra time / penalty shootout
Ila itakuwa ni vizuri zaidi kama tutaweza kushinda mechi hii ya leo
Mkuu mi naona sababu ya gemu inayofuata ya chelsea ni ngumu sana na kocha kaamua kwenda na mfumo ule bek zote za maana kaweka bench kukwepa majeruhHiyo ni sababu ndogo sana tote alikuwa ugenini tena kwa juve ka score na akapiga mpira mwingi sana pale turin liver ugenini kwa porto ka score... Sasa level ya juve na sevilla huwez fananisha hata kidogo juve is the best lakin alilazimishwa kuchomolewa goli 2.... Kiukweli timu yetu tukubali inamapungufu saana tu hasa katika mbinu hakuna ubunifu kabisa...
Kuna majitu yanafikiri kwa kutumia masabuli mkuuWenye shorts on target nyingi wana goli ngap mkuu?
hoja yangu inabaki palepale ile ni ligi kubwa na inataka tactics na hesabu kubwa!l!!ngoja tukamalizie shughuli old traffordHiyo ni sababu ndogo sana tote alikuwa ugenini tena kwa juve ka score na akapiga mpira mwingi sana pale turin liver ugenini kwa porto ka score... Sasa level ya juve na sevilla huwez fananisha hata kidogo juve is the best lakin alilazimishwa kuchomolewa goli 2.... Kiukweli timu yetu tukubali inamapungufu saana tu hasa katika mbinu hakuna ubunifu kabisa...
Sometime tuache ushabiki maandazi.Kocha wako wenger ana makombe mangap na hizo takwimu
Jana barcelona kaupigwa mwingi goli anakoswa yeye kuna muda hayo hayana maana
Mpira huwa unabadilika ila duh tuko hoiiiTumecheza pira bovu sana.
In short bora tuishie hapa tu huko mbele kwa form hii tutaenda kupata aibu
Hiyo ni sababu ndogo sana tote alikuwa ugenini tena kwa juve ka score na akapiga mpira mwingi sana pale turin liver ugenini kwa porto ka score... Sasa level ya juve na sevilla huwez fananisha hata kidogo juve is the best lakin alilazimishwa kuchomolewa goli 2.... Kiukweli timu yetu tukubali inamapungufu saana tu hasa katika mbinu hakuna ubunifu kabisa...

Kuna muda maandazi unaweza kuwa wewe gemu nyepesi ya sevilla ambayo ina marudiano kwa nn uhatarishe wachezaj?Sometime tuache ushabiki maandazi.
Man u cyo ile tunayoijua.kila mechi poor peformance timu haina morali kabsa kipa mechi nying ndo anakua man of the match kuna tatizo
Hapo nitakuelewaMkuu mi naona sababu ya gemu inayofuata ya chelsea ni ngumu sana na kocha kaamua kwenda na mfumo ule bek zote za maana kaweka bench kukwepa majeruh
Mkuu draw yoyote ya magoli tunatolewa ss pale home ni ushind tu au draw ya 0 0 ndo tunaenda 120Itakuwa ni vizuri zaidi kama ikitokea tutatoka sare, iwe sare ya magoli (1-1, 2-2, 3-3)
Sare ya 0 - 0 ina changamoto sana, kwani Sevilla wakifunga goli 1 ndani ya Old Traford itabidi Utd tushinde hiyo mechi au tutoke sare ya 1-1, twende extra time / penalty shootout
Ila itakuwa ni vizuri zaidi kama tutaweza kushinda mechi hii ya leo
We jamaa Mungu anakuona umenikumbusha mbali sana aise daaah.siku hizi watu waoga sana,zamani mchezaji tegemeo uko uwanjani anakuja mama yako anakutuma dukani gemu inaendelea timu yako ikiwa pungufu mpaka unarudi toka dukani unandelea na namba yako,siku hizi mchezaji akichechemea tu unatolewa fast hata kuuguzwa hakuna
Itakuwa UEFA umeanza kuifuatilia msimu huu yaani draw ya magoli sevilla akitoa OT mnaenda matuta?.
Nani kakudanganya?
Alfu unaandika kabisa bila aibu Duh!
Bora ungeficha ujinga wako mkuu
Mkuu draw yoyote ya magoli tunatolewa ss pale home ni ushind tu au draw ya 0 0 ndo tunaenda 120
Ha ha ha punguza hasira ndugu. Timu yetu inacheza vibaya sana, bado De Gea ndio tegemeo pekeeHumu akili wote mmeshikiwa na kilaza mmoja anaejiita radiki kila anachokiongea anakiona kina mantiku kumbe pumba tupu
ni kweli ligi ya mabingwa ni ligi kubwa sana na unapaswa kuwa na tactics zenye kuleta mafanikio, lakini fahamu ya kwamba wakati sisi tunawaza kwenda kumaliza shughuli old trafford wenzetu manchester city, liverpool na hata tottenham hotspurs wameshamaliza shughuli ugenini. maisha yote ukweli ndio utakao tuweka huru ila inashangaza wapenzi wengi wa manchester united ukweli hatuupendi.hoja yangu inabaki palepale ile ni ligi kubwa na inataka tactics na hesabu kubwa!l!!ngoja tukamalizie shughuli old trafford
kwanini unamchukia kiasi hiki the golden boy martial?? tatzo nini kaka??Rashford in for Sanchez...safi sana huyo Martial aozee benchi huko mpaka ajue kwanza mpira.