Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mi nisingeweka hela kubwa. Kwa sababu wigan nakumbuka vizuri walichotufanya 2013-2014
Siamini kabisa Kama Wigan kafanya hivyo, na nilitaka ni bet niweke hela maana nilijua kabisa Wigan hatoki. Tena ningeweka Handicap 2. My God. Duuh hi I Leo somo.
 
Siamini kabisa Kama Wigan kafanya hivyo, na nilitaka ni bet niweke hela maana nilijua kabisa Wigan hatoki. Tena ningeweka Handicap 2. My God. Duuh hi I Leo somo.
Mpira mchezo wa makosa.
 
Unataka wasajiliwe wachezaji gani?

Giggs alishauri Jesus wa Mancity asajiliwe akapigwa chini ...


Manchester united ni moja ya top spenders barani ulaya, cash inayotolewa ndio inayosajili hao wakina Linderlhof n.k Leo unakuja kusema team INA wachezaji wa kawaida , nani alaumiwe kocha anaewasajili au nani ????



Amini nakwambia Mourinho Leo akipewa Manchester city na wachezaji wale wale timu itapotea na Guardiola akipewa timu yetu utashangaa maajabu...


Unasema Rashford ni mbovu ila nakuhakikishia ,miongoni Mwa super talent academy ya Manchester imewahi kutoa ni huyu Dogo trace back kuanzia debut yake EUROPA chini ya Van Gal.


Problem ni Kocha Wetu formation ya kupack mabasi inawakosesha "Football rhythm" wachezaji Wetu ambao ni Driblers, mwisho wa siku tunawaona wabovu. Rashford ni kiberenge kama Sterling,Pedro au Mane , hawa timu ikipack basi utawaonea huruma....



Imagine rashford angekuwa chini ya Guardiola anaeamini kwenye attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack


Kupack basi ni simu kwa baadhi ya wachezaji , mikhtaryn ni mfano mzuri.
Absolutely true bro! Nimepapenda sana hapo kwenye exchange Guadiola aje kwetu na Mou aende kwao,hakika wachezaji Hawa hawa kina Rashford watauwasha moto hadi tushangae. Mou hata talent ya Reloy Sane asingeiona.
 
Mkuu hata kabla haujaenda kwa akina psg,man city na vigogo wengine kwenye matumizi ya pesa,hawa huddersfield tu wametutoa jasho kwenye game ya leo pamoja na uwekezaji wetu. Tatizo la Mou anaamini sana katika ulinzi utadhani alikuwa mwanajeshi.
eti utadhani alikuwa mwanajeshi
 
Here's something to cheer you up this Tuesday - United training pics ahead of tomorrow's UEFA Champions League tie against Sevilla!
fe670704f79746d031ddf3ebd2382399.jpg
 
Watakao itia najisi EPL wanacheza kesho!
Man U hii haiwezi pata hata sare ugenini kwa Seville!
Kesho mnafungwa watani,team mliyo mpa Sanchez ikawa yake masaa tu baada ya kufika haiwezi mfunga Seville
 
Watakao itia najisi EPL wanacheza kesho!
Man U hii haiwezi pata hata sare ugenini kwa Seville!
Kesho mnafungwa watani,team mliyo mpa Sanchez ikawa yake masaa tu baada ya kufika haiwezi mfunga Seville
Sare inasaidia nini? Umetoka kujikomba kwa chelsea kule dua lako halikufanikiwa umeamua kuja kushusha hasira hapa
 
Watakao itia najisi EPL wanacheza kesho!
Man U hii haiwezi pata hata sare ugenini kwa Seville!
Kesho mnafungwa watani,team mliyo mpa Sanchez ikawa yake masaa tu baada ya kufika haiwezi mfunga Seville
Tukishinda iwe mara ya mwisho kuonekana huku.
 
EPL teams zote UCL zimejitahidi sana lkn najua atakaye tutia najisi ni hii team!
Hawawezi mfunga Seville hawa
 
Sare inasaidia nini? Umetoka kujikomba kwa chelsea kule dua lako halikufanikiwa umeamua kuja kushusha hasira hapa

Toka juzi kule niliandika wasiwe na wasi wasi sababu Barca HANA team ya kumfunga Chelsea Darajani
Pia nakuambia hapa huwezi mfunga Seville kwake
 
Back
Top Bottom