Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leo tunashinda vizur tu ila mkuu usisahau nafasi uliyopo nae mtibwa sugar yupo hiyo nafasi.
Tukishindwa kupata matokeo kwa sevilla hii itakua ni disappointment moja kubwa sana, they are totally shit
 
Watakao itia najisi EPL wanacheza kesho!
Man U hii haiwezi pata hata sare ugenini kwa Seville!
Kesho mnafungwa watani,team mliyo mpa Sanchez ikawa yake masaa tu baada ya kufika haiwezi mfunga Seville

Kabla ya Mods hawajaifuta kwa bahati mbaya hii comment, nimeisave ili baada ya mechi ya leo na mechi ya marudiano tuitumie kama ushahidi
 
Kwa mtu yyte ambae alishawahi kucheza hata mpira wa makaratasi anatambua kuwa kuna siku unaamkia kushoto tu, haijalishi unacheza namba ipi.
Pogba asilalamike sana...kuna mtu anaitwa Hererra mbna hana kelele lakin anakula bench atari.

Natamani jtano mou acheze na midfield watatu
ombi lako limekubaliwa
 
Pamoja na utumbo wa wazi kwenye hii starting xi hasa kwenye defence,acha tumuamini Mourinho.Tutashinda
 
Pamoja na utumbo wa wazi kwenye hii starting xi hasa kwenye defence,acha tumuamini Mourinho.Tutashinda
Mkuu ulitaka Martial wako apangwe ndio umpende Mou. Kwa taarifa yako hiki ndio kikosi bora kabisa kwa sasa. Young huwa anakamata vizuri sana hapo kushoto na ana uwezo mkubwa wa kupanda na kudondosha krosi za maana sana sio Shaw uzoefu zero. Baadae Baily ataingia mambo yatakuwa murua sana.
 
Manchester United substitutes: Sergio Romero, Matteo Darmian, Eric Bailly, Paul Pogba, Anthony Martial, Jesse Lingard, Marcus Rashford.

Manchester United XI (4-3-3): David de Gea; Antonio Valencia, Victor Lindelof, Chris Smalling, Ashley Young; Ander Herrera, Nemanja Matic, Scott McTominay; Juan Mata, Romelu Lukaku, Alexis Sanchez.
 
Sevilla substitutes: David Soria, Daniel Carrico, Guido Pizarro, Roque Mesa, Nolito, Sandro Ramirez, Wissam Ben Yedder.

Sevilla XI (4-3-3): Sergio Rico; Jesus Navas, Gabriel Mercado, Clement Lenglet, Sergio Escudero; Ever Banega, Steven N’Zonzi, Franco Vazquez; Pablo Sarabia, Luis Muriel, Joaquin Correa.
 
Mkuu kuangalia mechi yote unaitaji uwe na mb ngap nsaidie hapo

Kwa Kutumia Mobile Application Ni not less than 400MB Kwa [HASHTAG]#Halotel[/HASHTAG] ndiyo Mtandao ninaotumia Mimi! Kuhusu mitandao Mengine hilo sielewi.
 
Back
Top Bottom