Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unataka wasajiliwe wachezaji gani?

Giggs alishauri Jesus wa Mancity asajiliwe akapigwa chini ...


Manchester united ni moja ya top spenders barani ulaya, cash inayotolewa ndio inayosajili hao wakina Linderlhof n.k Leo unakuja kusema team INA wachezaji wa kawaida , nani alaumiwe kocha anaewasajili au nani ????



Amini nakwambia Mourinho Leo akipewa Manchester city na wachezaji wale wale timu itapotea na Guardiola akipewa timu yetu utashangaa maajabu...


Unasema Rashford ni mbovu ila nakuhakikishia ,miongoni Mwa super talent academy ya Manchester imewahi kutoa ni huyu Dogo trace back kuanzia debut yake EUROPA chini ya Van Gal.


Problem ni Kocha Wetu formation ya kupack mabasi inawakosesha "Football rhythm" wachezaji Wetu ambao ni Driblers, mwisho wa siku tunawaona wabovu. Rashford ni kiberenge kama Sterling,Pedro au Mane , hawa timu ikipack basi utawaonea huruma....



Imagine rashford angekuwa chini ya Guardiola anaeamini kwenye attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack


Kupack basi ni simu kwa baadhi ya wachezaji , mikhtaryn ni mfano mzuri.
mpaka sasa mou ana makombe 3 na guardiola hana hata moja huo ndio ukweli. Man utd inahitahji makombe zaidi kwa sasa bila kujali tunatambaa, tunafunga na mabega, tunabutua etc. unawaona liverpool? walikuwa timu kali sana uingereza na ulaya ila sasa hivi wanafanya nini? toka 2008 wana kombe sijui moja, miaka 10. si ataack attack, ataaaaack wale?

mou kafanya mambo mengi na maajabu ya soka kuliko kocha yoyote wa sasa, usisahau porto yake ilichukua uefa na kuwafunga wababe wengi na usisahau inter yake zote zilikuwa hazipewi nafasi yoyote.

Bado tunagombania UEFA na bado tupo FA cup hata kama ligi hakuna matumaini bado Mourinho anaweza kafanya uwe msimu wa mafanikio.
 
Leo Lukaku amezitumia nafasi vizuri otherwise timu imecheza ovyo Sana
I hope Pogba na Bailly watakuwa fit kuanza against Sevilla next week
Ila goli la kwanza kafunga vizur sana pia nafikir kuna utofout kama lingard asipopewa namba 10 kwa mfano kuna ile ya mwisho kapewa pande na martial ndani ya 6 kapiga tena cros kuitoa ndani ya 18 wanatukost muda flan

Goli la pili ile counter atack ya sanchez na lukaku ilikuwa superb imenikumbusha enzi za sir nimeipenda sana ila muda ulivyozid kwenda tuliianza kuitawala game.
 
mpaka sasa mou ana makombe 3 na guardiola hana hata moja huo ndio ukweli. Man utd inahitahji makombe zaidi kwa sasa bila kujali tunatambaa, tunafunga na mabega, tunabutua etc. unawaona liverpool? walikuwa timu kali sana uingereza na ulaya ila sasa hivi wanafanya nini? toka 2008 wana kombe sijui moja, miaka 10. si ataack attack, ataaaaack wale?

mou kafanya mambo mengi na maajabu ya soka kuliko kocha yoyote wa sasa, usisahau porto yake ilichukua uefa na kuwafunga wababe wengi na usisahau inter yake zote zilikuwa hazipewi nafasi yoyote.

Bado tunagombania UEFA na bado tupo FA cup hata kama ligi hakuna matumaini bado Mourinho anaweza kafanya uwe msimu wa mafanikio.
Msimu huu Guardiola Anachukua makombe si chini ya mawili ....



Hayo mengine uliyoongea ni porojo za vijiwe vya kahawa.
 
MUFC have been drawn at home to Brighton and Hove Albion in the @EmiratesFACup quarter-finals. The tie will be played between 16-19 March. Manchester United on Twitter
4c15c582f336f94d63ae8e60ff3ae406.jpg
 
Nashukuru kwa kulitambua hilo,manchester hatuna kocha mbovu bali tuna timu yenye wachezaji wa kawaida,kwa timu iliyopo ya beki smalling na jones na kuwa tegemea akina rashford ata arud babu ferg hakuna kitakachobadilika.mpira wa sasa ni pesa,angalia man city,psg,barcelona,real madrid na vikosi walivyo navyo.mashabiki wa man u lazma tukubali tuna timu ya kawaida kabsa

Mkuu hata kabla haujaenda kwa akina psg,man city na vigogo wengine kwenye matumizi ya pesa,hawa huddersfield tu wametutoa jasho kwenye game ya leo pamoja na uwekezaji wetu. Tatizo la Mou anaamini sana katika ulinzi utadhani alikuwa mwanajeshi.
 
Mkuu hata kabla haujaenda kwa akina psg,man city na vigogo wengine kwenye matumizi ya pesa,hawa huddersfield tu wametutoa jasho kwenye game ya leo pamoja na uwekezaji wetu. Tatizo la Mou anaamini sana katika ulinzi utadhani alikuwa mwanajeshi.
 
Unataka wasajiliwe wachezaji gani?

Giggs alishauri Jesus wa Mancity asajiliwe akapigwa chini ...


Manchester united ni moja ya top spenders barani ulaya, cash inayotolewa ndio inayosajili hao wakina Linderlhof n.k Leo unakuja kusema team INA wachezaji wa kawaida , nani alaumiwe kocha anaewasajili au nani ????



Amini nakwambia Mourinho Leo akipewa Manchester city na wachezaji wale wale timu itapotea na Guardiola akipewa timu yetu utashangaa maajabu...


Unasema Rashford ni mbovu ila nakuhakikishia ,miongoni Mwa super talent academy ya Manchester imewahi kutoa ni huyu Dogo trace back kuanzia debut yake EUROPA chini ya Van Gal.


Problem ni Kocha Wetu formation ya kupack mabasi inawakosesha "Football rhythm" wachezaji Wetu ambao ni Driblers, mwisho wa siku tunawaona wabovu. Rashford ni kiberenge kama Sterling,Pedro au Mane , hawa timu ikipack basi utawaonea huruma....



Imagine rashford angekuwa chini ya Guardiola anaeamini kwenye attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack
attack attack attack attack attack


Kupack basi ni simu kwa baadhi ya wachezaji , mikhtaryn ni mfano mzuri.

Rashford angekua chini ya Guardiola angekua katolewa kwa mkopo au kauzwa kama Ihenacho.
 
Leo Lukaku amezitumia nafasi vizuri otherwise timu imecheza ovyo Sana
I hope Pogba na Bailly watakuwa fit kuanza against Sevilla next week

Huyu Pogba huwa ana msaada gani kwenye timu ambao mie huwa siuoni hata akichezeshwa namba 10 bado timu inakuwa ngumu kama uchumi wa bongo ya jpm? Mata is the right candidate for number 10 position as far as im concerned.
 
Mkuu hata mimi huwa najiuliza nakosa majibu. Yaani kwa sababu ambazo hatuwekwi wazi ghafla herrera amekuwa mchezaji wa qarabao na fa tu.
Binafsi huwa namuona herrera kama mbadala mzuri kucheza kando ya matic (sijamuongelea PP) maana ana uwezo wa kuichezesha timu haraka kuelekea mbele. Lakini leo hii McTomminay anamsubirisha herrera nje,unacheza na newcastle unatumia viungo wawili wagumu kama sio kukaribisha mashambulizi ni nini?
Mou aache wachezaji wawe huru kufurahia mpira sasa,ubingwa ushakuwa historia kwa msimu huu. Walau tufurahie hata burudani pekee kama makombe yameshindikana (kama alivyoamua wenger)
Herrera majeruhi
 
Jirani zangu mtateseka sana tu. Kocha wenu kazoea mpira wa kizamani.
 
jana mata kaanza sabubu lingard anapumzika kwa ajili ya sevilla...
 
jana mata kaanza sabubu lingard anapumzika kwa ajili ya sevilla...
mbona wanacheza namba tofauti? jana mfumo ulikuwa ni 4-3-3 tulicheza bila namba 10 wa kusimama hivyo hakuhitajika lingard.

mata anatumika kama kiungo mshambuliaji wa kulia kwenye 4-2-3-1 na mou wakati lingard anakua kama kiungo mshambuliaji wa kati au namba 10. namba ya lingard alikuwa akicheza mkhitariyan.
 
Back
Top Bottom