Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,686
pogba kapiga mtu msumari tayari!!mtu mweusi ni mtu mweusi tu!!black magic
Kijana Chizenga Mkwawa Mate.....mashabiki wa Herrera tumeumia sana!tumesubiria muda mrefu mchezaji wetu ampige benchi Pogba imetokea leo ghafla kaumia kiajabuajabu tu
haaa haaa haaa uko sahihi kabisa mkuu!!Kijana Chizenga Mkwawa Mate.....
Najua nipo Sahihi ni intake Moja Mkuuhaaa haaa haaa uko sahihi kabisa mkuu!!