Mkuu kocha ataamua vile anataka pogba ni mdogo kushinda club kocha akiamua acheze ana cheza kuna interview alifanya na mutv kamsifia sana scott kwamba dogo hana tatoo,hatumii muda mwingi kuhangaika na nywele hana mambo ya kuhusudu magar plus social network ukiangalia hilo ni dongo kwa pogba kawekeza nguvu kubwa ktk maisha binafs sio uwanjan inafika mahal kocha anakasirika nakumbuka hata sir alex alikuwa mkali ktk haya mambo binafs pogba akiamua kuwekeza uwanjan anaweza siku tulicheza na arsenal ile mech kesho yake pogba alilala had kapitiliza muda wa mazoez akatumwa mtu kumuamsha kocha alichukia sana so ukiangalia haya matukio kama kajihakikishia namba hatak kujituma pia wakat wa maadhimisho ya kumbukumbu ya munich inasemekana mourinho aliambiwa kitu na sir alex muhusu scott tutegemee kumuona akicheza sana.