Manchester United (Red Devils) | Special Thread


sasa ndo unaenda kuleta huo uchafu wa ujeruman mwenzie kaikalisha ulaya nzima mourinho akiacha utani huyo kdb ni takataka fikiria dogo miaka 22 kaikalisha ulaya bila kutolewa kwa mikopo mwenzio huyo


we toa lugha zote ila kufikia hapo ushakalishwa na vituzo uchwara hivyo umeanza ku slow down huyo anaenda miaka 28 kwanza pogba 24 kafanya ya maana achana na tuzo za huko juventus tuliza akili mdogo wangu
 
Wewe na morinho nani ni professional kwenye tasnia ya mpira na ukocha?

Unafikili hizo pumba zako morinho hakuzitambua?
Yes haya ndo nlikuwa nayataka mtoleane povu ila mtujuze mazishi saa ngapi?
 
Kuna kitu Mourinho anakosea tena anakosea sana, timu hii si ya kufungwa na Huddersfield au Newcastle

Pole sana mtani,soon tutakubaliana kua hizi team zetu ni kama jogging clubs tu maana unachoamini watakifanya unashangaa hawakifanyi.
Bado nipo hapa kibarazani kwenu mpaka tumalize msiba incase utahitaji kitu nijuze ndio ujirani tena.
 
Pole sana mtani,soon tutakubaliana kua hizi team zetu ni kama jogging clubs tu maana unachoamini watakifanya unashangaa hawakifanyi.
Bado nipo hapa kibarazani kwenu mpaka tumalize msiba incase utahitaji kitu nijuze ndio ujirani tena.
Kuna kitu Mou anakosea. Tunaweza tusiwe na timu nzuri ya kumfunga City,Spurs au PSG ila timu hii haiwezi kufungwa na Huddersfield,Newcastle.
Pogba kasusa kucheza mpira,Martial doesnt care. Kuna kitu zaidi ya football uwanjani.
 
Top five ballon d or hadi kilaza kante amewekwa

hawa ndo mashabik halisi wa manchester city kweli mpira umewapita kushoto hapa tutapoteza muda mchezaj bora wa epl msimu ulioisha unamuita hivyo?
 
Ahahaaaah...
Naamini afya yako ya ubongo haiko sawasawa..!
Eti unamsifu Pogba kushinda tuzo ya Golden Boy of The Year,tuzo ambayo wameshinda watu kama akina Pato,Anderson,Gotze hadi Balotelli alishawahi kuchukua hiyo tuzo..!
Ahahaaaaaaaaaaah...
Jinga kabisa..!
Eti KDB ana miaka 28..!
Ahahaaaah..!
 
hawa ndo mashabik halisi wa manchester city kweli mpira umewapita kushoto hapa tutapoteza muda mchezaj bora wa epl msimu ulioisha unamuita hivyo?
Ahahaaaah...
Wewe ni MWEHU...
Mbona KDB ashakua mchezaji bora wa bundesliga na bado unamuita takataka..!?
Au unajitoa ufahamu..!?
 
Ahahaaaah...
Wewe ni MWEHU...
Mbona KDB ashakua mchezaji bora wa bundesliga na bado unamuita takataka..!?
Au unajitoa ufahamu..!?

mdogo wangu huo uchafu pogba kaubeba sana juventus sijakuambia tu wakat huyo mnaempamba anatolewa kwa mikopo kuimarika pogba anachukua namba juventus akiwa na miaka 20 tu
 
mdogo wangu huo uchafu pogba kaubeba sana juventus sijakuambia tu wakat huyo mnaempamba anatolewa kwa mikopo kuimarika pogba anachukua namba juventus akiwa na miaka 20 tu
Ahahaaaah...
Baada ya kuonekana takataka Manure United ndio akaenda kuchukua namba Juventus...
Sio..!?
 
Wote wameingia shimoni hapana chezea kichapo tena cha timu ya chini kama newcastle yani hapo wanazama then wanachungulia bado wapo?????wakiona watu wanaingia shimoni yani wamekuwa kama panya dadadek
 
HAMNA JIPYA NYINYI MMESHAFILISIKA MBINU ..KITU AMBACHO MSICHOTAKA KUKIKUBALI NIKUWA MAKOCHA WENU WOTE AMBAO WAMEKUWA WAKIIFNDISHA TEAM YENU TANGU KUONDOKA KWA FERGIE NIMAKOCHA AMBAO TAYARI WAMESHAANZA KUTENGWA NA WAKATI HUU WA SOKA LA KISASA
MBINU ZINAZO TUMIKA SASA NI MBINU BORA MNOO .NAHILO LINACHAGIZWA NA UJIO WA GENERATION YA MAKOCHA WAPYA WANAOTIKISA KWA SASA ...KAMA PORCHETINO.GUARDIOLA DIEGO SIMION ZIDANE NA KINA CONTE ..
 
Siku tumepigwa na spurs martial alitokea kulia na leo kampanga vilevile ! Mata akiingia ana perfemo vizuri pia kamueka bench ! Lingard na smalling na young bado anawanang'ania mou ****....sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…