Xhaka unamfananisha na nani mkuu?huyu pogba aaaaah mkuu acha utani basiMwaka jana alikuwa xhaka zilipigwa ngojera hapa kumbe nyie wa kdb mnausoma mchezo sasa na nyie zamu yenu sijui mwakan ataibuka nani pogba anatabu sana pia inaweza kuwa rangi yake inamponza mweusi kumkubali mweusi hadi maji yafike shingoni.
Ndio maana nasemaga wewe ni KIAZI...
Msimu wa 2014-15 KDB akiwa Wolfsburg alishinda tuzo ya mchezaji bora wa bundesliga akiwagaragaza watu kama wakina Robben,Aubameyang,Thomas Muller,Lewandowski na Ribery..!
Msimu huo KDB alipiga assists nyingi kuliko mchezaji yeyote katika ligi tano bora za ulaya...
Ila sikulaumu sana,huenda ulikua bado haujaanza kuangalia mpira kipindi hicho au ulikua unaangalia mechi za Manure United pekee...
KUMBUKA: Usimfananishe KDB na upuuzi..!
View attachment 694069 View attachment 694070
Wewe ni MPUUZI wa kiwango cha mwisho...Unaweka bando kwa ajili ya kuja humu umeteseka sana yaelekea ktk makuzi yako manchester united wamekutesa sana kisayansi ni bora uwe unatema nyongo usije kujifia
by the way wewe sio level yangu mshabik wa man city ni sawa na wa newcastle tu au sunderland nakutupa kwenye taka la uchafu hutoona najib post zako labda uendelee na shobo zako ku quote post zangu ntakutazama na kukupuuza.
Wewe ni MPUUZI wa kiwango cha mwisho...
Hautaki nikuquote,haupendi kuona post zangu humu..!?
Mbona ni rahisi sana...
Just ignore me...
Niweke kwa ignore list,utakua umemaliza kazi...
Ila sio unipangie namna ya kutumia muda na MB zangu humu jukwaani..!
Umenikumbusha tena Drogba.. Nae alifiti kwenye huo mfumo.mkuu lukaku utamuona kwa mfumo wa striker moja mbele ipo shida ni kocha kunadili mfumo tu nlikuwa namuona diego costa akifit kwenye huo mfumo wa striker mmoja mbele sasa lukaku kutuliza mpira shida kupiga chenga shida bado umsimamishe peke yake mbele ni ngumu huo mfumo ni wa complete striker angalau kwa pale england namuona kun aguero huo mfumo anacheza.
Kwani mechi iliyopita na Huddersfield na akatupia goli moja(alipewa penalti golikipa akapangua na akauwahi kisha kutupia kambani) haikuwa ya ligi?Sanchez hajashinda mechi ya ligi toka mwaka jana hahahahhahahaha
Ok ahsante nimekumbuka mkuuKwani mechi iliyopita na Huddersfield na akatupia goli moja(alipewa penalti golikipa akapangua na akauwahi kisha kutupia kambani) haikuwa ya ligi?
Wewe ni MWEHU...Ndugu yangu akili yako ipo sawa wewe pogba kachukua best young player wa ulaya nzima wewe unatuambia bundesliga?
halafu unajiita shabik bumunda daa inabid nikuache mwaka 2013 kaingia first 11 best player wa ulaya huyo hakuwepo? kayafanya hayo akiwa na miaka 22 had 23 hadi hapo kwa heli
Wewe na morinho nani ni professional kwenye tasnia ya mpira na ukocha?Naona pogba hana morali tena toka mechi inaanza nlimuona hayupo sawa
Pia mourinho sio mjanja kumshinda
Ander herrera
Toka mwanzo alipokosekana tu nkajua maumivu
4 3 3 ndo mpango huu mfumo wake wa 4 2 3 1 spurs na liverpool watatuoa pale.
Mkuu usisahau kunipa credits zangu za kuenzi harakati za kuona Mourinho sio kocha wa kutuvusha tunapopataka, Nilitukanwa na kusemwa saaaaaana.Naomba kusema kwa mara ya kwanza nawaunga mkono na mguu wanaosema Mou anazingua timu hovyo kabisa. Mpaka wafungwe ndo wanacheza.
Ficha upumbavu wako na kukurupuka ile mechi ya Huddersfield uliyepiga penati ulikuwa wewe?Sanchez hajashinda mechi ya ligi toka mwaka jana hahahahhahahaha
Top five ballon d or hadi kilaza kante amewekwaushwahi kumuona akiingia top 20 ya ballon d'or au ana tuzo gani binafsi?
Mbona povu mkuu na mimi lengo langu ilikuwa kuwatoa huko mapangoni mlipojificha ,haiwezekani wageni tuje msibani alafu nyie mle chochoro mtuachie majamvi hahahaha njooni tuombeleze waite wenzioFicha upumbavu wako na kukurupuka ile mechi ya Huddersfield uliyepiga penati ulikuwa wewe?