Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Huyu jamaa huwa ananifurahisha sana, ni moja ya watu wanaoendeshwa kwa matukio na mihemko mno. Huwa napitia posts zake kuna kipindi alikua kwenye kila post ana mdisi Klopp hadi wakawa wanatofautiana na malafyale, alipokuja Mosdef kaweka hisia zake juu ya Klopp na FSG jamaa alifanya turnaround moja ya hatari kama si yeye aliekua anamtukana Klopp.
Kelvin msimu huu ndio unaweza ukawa ndio the best season kwake ever, kama ilivo kwa salah, kama ilivokua kwa mane last season (kuna viumbe walifikia kumfananisha na hazard), kama ilivokua kwa mahrez msimu ule wanachukua ubingwa, kuna dogo anaitwa Asensio msimu uliopita kila akigusa mpira kama sio kufunga basi ana assist, mashabiki wa madrid waka m-hype to the maximum.
Pogba kipaji chake kilishaonekana tangu mdogo anashinda Golden boy, FIFA U-17 world cup Golden boy na amekua akichukua tuzo since then wakati the best moments kwa kelvin ni kua top assist provider na kuwa kwenye pro XI 3rd team.
Sio Kweli unayosema! Kuhusu Klopp Mpaka Leo Ninamjadili na Kumlaumu! Go kaangalie Posts zangu za Wiki Hii nilivyoandika Matizo ya Kulopp pale nilipomreply malafyale!
Nilichochange ni Kuhusu kauli yangu ya [HASHTAG]#Kloppout[/HASHTAG] tu!
Tena ni kwa sababu 2
1) Kwanza Kuhusu sakata la kuuzwa Coutinho: Hii ni kutokana na Klopp kuresist lakini FSG wakaingiwa na uroho Wa hela wakaamua Kumuuza.
2) Akiondoka yeye atatafutwa Kocha Mbovu Zaidi kutoka Midtable team.
Kwahiyo Mimi sikosoi Ufundi Wa Klopp tokea awali Bali ninakosoa Sera zake na Nitaendelea Kukosoa. Jaribu kuwa Mkweli.
So, sasa sijui umekusudia kudanganya Nini na kwa Nani!