likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,085
Newcastle 1-0 man utd
R.I.P
R.I.P
Kumbukumbu zangu zinanionesha wewe ni miongoni mwa mashabiki walionivamia "nilipopaza" shingo kusema Mourinho ni shida pale Manchester united.Kuna kitu Mourinho anakosea tena anakosea sana, timu hii si ya kufungwa na Huddersfield au Newcastle
No leo cha nguruwe
wewe ujui man u wamechana mkeka wakekwa mfano ingeshinda we ungepata nini , yan kuna uchizi mmeubeba kwa lazma , me ni mdau wa soka ila co kindakindaki ki hvo
Kumbukumbu zangu zinanionesha wewe ni miongoni mwa mashabiki walionivamia "nilipopaza" shingo kusema Mourinho ni shida pale Manchester united.
Nashukuru na wewe Leo unaanza kuona Bado yule bwana mdogo Radika
Acha ushabiki mavi mkuu..kwanza martial katoka kuwa mchezaji bora wa mwezi uliopita na pia mchango wake kwa mwezi january ulikuwa mzuri sana..naona kila kitu ul unampa lawama martial,ni kweli amekopoteza clear chansi ila leo hatukutengeneza nafasi nyingi za goli..wachezaji wamecheza chini ya kiwango,ila pogba amezidi kabisa,na tambua kiungo ndo kila kitu...all in all bado martial ni mchezaji mzuri ambaye timu ikiwa kwenye peak,na yeye pia anaperform vizuri..hizi critics zako juu ya martial nadiriki kuziita ni za kipumbavu.Atalaumiwa kwa selection yake mbovu ya first eleven. Umeona baada ya kina Mata kuingia walivyopiga mpira mkubwa? Narudia tena na mnitukane tena. "HAKUNA MECHI ATAANZA MARTIAL UKASHINDA"
Acha kumfananisha KDB na ushubwadahahahahaa![]()
Ndio maana nasemaga wewe ni KIAZI...ushwahi kumuona akiingia top 20 ya ballon d'or au ana tuzo gani binafsi?
Mwaka jana alikuwa xhaka zilipigwa ngojera hapa kumbe nyie wa kdb mnausoma mchezo sasa na nyie zamu yenu sijui mwakan ataibuka nani pogba anatabu sana pia inaweza kuwa rangi yake inamponza mweusi kumkubali mweusi hadi maji yafike shingoni.Acha kumfananisha KDB na ushubwada