Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mambo ni hivi.....
 

Attachments

  • Screenshot_20180201-003730.png
    Screenshot_20180201-003730.png
    13.8 KB · Views: 34
Binafsi nayakubali matokeo, kukubali matokeo ni uungwana. Man City hana mpinzani mwaka huu. Vita vinabaki kuwa top four.
Game LA Leo huwez mlaumi mtu,,, hata Tottenham magoli walofunga ya kawaida Sana ni Makosa madogo madogo tu,, lkn kikubwa timu imeonesha uhai
 
Halafu atatokea bwege hapa ataanza kumponda Mourinho
Wachezaji leo wamekuwa hovyo kabisa
Pogba sijui kalala wapi
Martial inaelekea hamjui Mou
Jones kama mlevi leo
Smalling analeta panic attacks kwenye defence
Sanchez hakabi kampa shida sana Young

Mkiwa na wachezaji 7/8 hawajisikii kucheza hamuwezi kushonda. Ndio maana Mou huwa anawapa ukweli wao!
 
Wachezaji leo wamekuwa hovyo kabisa
Pogba sijui kalala wapi
Martial inaelekea hamjui Mou
Jones kama mlevi leo
Smalling analeta panic attacks kwenye defence
Sanchez hakabi kampa shida sana Young

Mkiwa na wachezaji 7/8 hawajisikii kucheza hamuwezi kushonda. Ndio maana Mou huwa anawapa ukweli wao!
Naye pia mbabaishaji team kubwa inawachezaji wenye majina lakini aieleweki inacheza kitu gani
 
Awaoni Spurs wakichukua mpira wanakimbiza basi awa Uongozi wa wa Man United ulikimbilia kumuongezea mkataba
 
Game LA Leo huwez mlaumi mtu,,, hata Tottenham magoli walofunga ya kawaida Sana ni Makosa madogo madogo tu,, lkn kikubwa timu imeonesha uhai
Wacha utani mkuu uhai upo wapi hapo timu imezidiwa kila eneo yani munaongoza kupiga goal kick tu daaaaaaaaaaaah.............poleni
 

Attachments

  • Screenshot_20180201-004725.png
    Screenshot_20180201-004725.png
    22.1 KB · Views: 32
Back
Top Bottom