kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,992
- 3,879
Bado hayatoka...Matokeo vipi?
Bado hayatoka...Matokeo vipi?
Mkuu una akili sana..hayo mawazo bora kabisa.Wasiwasi wangu ni kwa Young tukipigwa counter attack...huwa anasindikiza hadi kwy box.
Najua Lingard atatolewa aingie Felain, I wish maajabu yatokee, martial apigwe bench Lingard abaki.

kwani Alexis hajaanza?Kwa mpiraaa huuu Man u Tunastahili kufungwaa
Young na lingard hawa hata iweje mou alivyo msenge hawaeki njeHii timu dah Sielewi kwanini young anaanza wakati Shaw ni mzima na anacheza vizuri, martial kule juu hata kwa bunduki hatacheza kabisa. Jamaa wanatukabia juu na ndo shida hatuwezi kucheza kabisa, ngoja tuone Mou ana mbinu gani mpya ya kutunusuru leo maana ni aibu.![]()
![]()
Mkuu mbona unakurupuka...I mean Sanchez na Martial mbona hawajawekwa sehemu moja kule vyumbani?Ulishaona wapi watoto wanafundishana?.mbona unakuwa kama mtu usiyejielewa wewe,na martial uliyemsema kuwa anakaa benchi,leo anaanza
Mwache tu acheze, mpaka hapa half time floop of the match. Pogba&MartialKuna jamaa leo nimegundua ni ana chuki zake binafsi tu na martial majuzi nilidhani ni shabiki tu anatoa maoni yake ila dah too much.
Mkumbushe huyoTutakukumbusha..
Usikimbie tu
Ni timu nzima wanacheza hovyo mkuuMwache tu acheze, mpaka hapa half time floop of the match. Pogba&Martial