Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Wakuu Wa Kutafsiri Picha Hepu Tuambieni Huyu Cartoonist hapo Kwa Wenger anamaanisha Nini?? 😀 😀 😀
wenger amembeba mkhitaryan wake amewaachia wengine wanamgombea sanchezWakuu Wa Kutafsiri Picha Hepu Tuambieni Huyu Cartoonist hapo Kwa Wenger anamaanisha Nini?? 😀 😀 😀
View attachment 678697
MkopoHana 'noma' na ofa ya United.
Manchester United wameripotiwa kutaka kumlipa Alexis Sanchez mshahara wa Pauni 500,000 kwa wiki , na hiyo sio tatizo kwa Arsene Wenger - lakini imearifiwa kwamba asingekuwa na furaha kama Manchester City wangetaka kutoa ofa kama hiyo.
" Nisingependa kuhoji kuhusu namba ( Mshahara ) , hiyo ni juu ya United. Naiheshimu Manchester United kwasababu wanatengeneza fedha zao wenyewe wanazowalipa wachezaji wao kwa kutumia rasilimali zao . Lazima uheshimu hilo."
" Baada ya hapo ni juu yao sasa ni kiasi gani wanataka kumlipa mchezaji . Ni klabu ambayo inaendeshwa vizuri kiuchumi na ndani ya uwanja, ndio maana sina tatizo na fedha wanazolipa ."
" Naheshimu timu zinazotengeneza fedha zao wenyewe."

Nenda tu google andika tu Anthony martial to sevila halafu utapata majibu na uhakikishe unatafuta hadi quotations za agent wake hafu uje unipe mrejeshoMartial hajawahi kutaka kuondoka United although timu nyingi sana zimekuwa zikimtaka kila wakati wa usajili hata Arsenal walitaka ajumuishwe deal la Sanchez akakataa kabisa.Kwa mfumo wa Mourinho huwezi kumweka benchi Matic ili Herrera acheze the same Mourinho aliyeua kipaji cha Herrera ndio aliyemfanya awe mchezaji bora last season hadi tukaseme apewe u-captain
Sanchez ni 29 Mkhi ni 28 sielewi logic yako hapo ,SAF alimsajili RVP umri huo tena injury prone na akaipa United ubingwa wa 20.Mkhi alinunuliwa kwa 26m last year Sanchez alinunuliwa kwa 32m mwaka 2013 Wenger amesema deal ni kubadilishana wachezaji hakuna hela ambayo Arsenal watapewaNI MAWAZO YANGU TU:
Sanchez ni 29yrs old Sidhani Kuwa Wanaweza Kuboreka Zaidi Ya Kushuka Coz Umri Sahihi Wa Mchezaji Kufikia Katika Peak ni 25yrs na si Zaidi Ya Hapo
Problem Nyengine ni Mou-Style huenda ikamuangusha Zaidi Kama Micky Coz Jamaa Hajazoea Kulinda alichozoea Ni Pep-Style and Weng-Style.
Only Offensive
Ni Mtazamo tu.
Man Utd 4everWhy usilete hizo links hapa,nimekwambia timu nyingi zimekuwa zinamtaka Martial but yeye mwenyewe hajawahi taka kuondoka na several times baada ya hizo tetesi kuzuka Martial akifunga goli huwa ana-kiss badge ya United
Mzee ni kama.unavyoona hapo...jezi zimeanza kutengenezwa na kuuzwa kwa order maalum tunatarajia masaa machache yajayo official announcement itatokaAS7 au A7?
Halafu huenda akafanya vizuri tu huko arsenal akawa wa umuhimuIla micki dah ndo hivyo tena hamna jinsi acha akajaribu maisha london..
Yah kweli kabisa.Halafu huenda akafanya vizuri tu huko arsenal akawa wa umuhimu
Anaweza kwenda kuwa moto wa kuotea mbali mkuu.Ila micki dah ndo hivyo tena hamna jinsi acha akajaribu maisha london..
Ona Herrera sasa anasugua mpaka kipaji kitapotea kabisa.Tatizo LA Mou ni kuwanyima Uhuru wa chezaji uwanjani. Hilo ndo limefanya wafikie pabaya na Mkhtaryan. Na kuna kipindi hata Martial alishakata tamaa akaomba kwenda sevilla kwa mkopo. Kwa kifupi some times mou huwatumia wachezaji Fulani ktk nyakati Fulani si kwa matakwa ya moyo wake Bali ni kwa sababu hakuna namna. Na anapopata suluhisho,haijalishi huyo mchezaji yupo form au la anamuweka kando kupita kiasi. Rejea Herrera msimu ulopita mpaka tukasema itabidi awe captain.