Unanipa Mashaka aiseeSitaki..
Shithole people from shithole countries supporting shithole team composing of shithole players with shithole manager.![]()
![]()
inst bana
So?????????Unanipa Mashaka aisee
Sawa mkuu shukran kwa kucopy na kupasteShithole people from shithole countries supporting shithole team composing of shithole players with shithole manager.
..JF ina umuhimu sana kwangu sijawai kuitumia kwa kutafuta sifa au kutukana watu mda nitakaokuwa nimepigwa Ban nishapoteza a lot of money...so wrong no mkuu

Jukwaa lenu la aseno limebomoka au? Mbona huondoki huku?Acha upumbav ww..
Huyo jamaa ana stress sana msamehe tu... Litimu lake la aseno linayumba yumba halieleweki ndio maana anakuja huku kupunguza stress!!Mkuu asubhui asubhui unaanza na lugha chafu mpka ikifika jioni sijui utakuwa umeshaingiza zambi ngapi za lugha chafu kuanzia mtaani, ktk jamii yako mpka humu majukwani..sio kosa lako ni malezi mabovu ya wazee wako na instgram ulipozoea
Sure khadija omary kopaManchester united ni team yenye mashabiki waongeji kama waimba taarabu
Mnaniqoute mnategemea nn nyie viazi..Jukwaa lenu la aseno limebomoka au? Mbona huondoki huku?
Stress mbaya sana... Yani hapo unawaza..Mnaniqoute mnategemea nn nyie viazi..
Tulia mpaka dirisha la usajili lifungwe ndo uanze kunikenulia kuhusu asenali...Stress mbaya sana... Yani hapo unawaza..
1. Sanchez anaondoka
2. Asenane imefulia
3. Matokeo ya kidado cha nne hayajatoka na unahisi utakua umetaga!
Pole sana mkuu dawa ya stress sio kuja kubwabwaja humu ni kutafuta maji ya baridi na limao alafu unywe!!
Sizitaki hizi mbichi!Kwan Sanchez kafunga mabao mangapi this season?? Kati ya Sanchez na Ozil nan ana umuhimu zaidi kwangu??
Jidanganye...,huyo ana stress za kutoshiriki world cup..mwambie kule hawashiriki visabengo ka yy...Sizitaki hizi mbichi!
BTW tumeanza na sanchez, ozil mwakani tunamkwapua na yeye!
DuuuuurFootball.London: Former Arsenal and Chelsea midfielder travels to Manchester ahead of shock United transfer. Former Arsenal and Chelsea midfielder travels to Manchester ahead of shock United transfer
Lassana Diarra.
Anataka kutuongezea wazeeFootball.London: Former Arsenal and Chelsea midfielder travels to Manchester ahead of shock United transfer. Former Arsenal and Chelsea midfielder travels to Manchester ahead of shock United transfer
Lassana Diarra.
Mkuu liverpool na chelsea watu makini sana huwa ni utani wa kimpira hamnaga matusiKuna watu wana washwawashwa na hili jukwaa la Man Utd, nendeni kwenye majukwaa yenu huko ya Arsenane, Chelshit na losserpool