Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama sanchez anaweza kutua
7a0c007d8cc5d6f9ddccd8b7f54efa09.jpg
4352ac3cdba04f07a974976d51bdd503.jpg
625002fdf0b87845983a163a24a2e22e.jpg
aeefdac57b6238abcfdb99a7b731b83f.jpg
 
Mkataba wa Manchester United kumsaini mshambualiaji wa Arsenal raia wa Chile utagharimu pauni milioni 180 baada ya Sanchez kukubali mkataba wa miaka minne unusu. (Telegraph)
Mkataba wa Sanchez na Manchester United utamlipa mchezaji huyo wa umri wa miaka 29, paunia 400,000 kwa wiki. (Independent)
 
Ona Herrera sasa anasugua mpaka kipaji kitapotea kabisa.
mnapenda sana kulalamika hadi mnaboa

katika mechi 6 za makundi za Uefa kombe muhimu Herrera amecheza mechi 5, mechi nne akianza na mechi moja kama sub

kwenye ligi katika mechi 23 herrera amecheza mechi 17 kati ya hizo 9 ameanza na 8 ameingia kama sub.

FA cup tumecheza moja na yeye ameanza

na carabao amechanza mechi 2

So far ameanza mechi 15 na kuingia kama sub mechi 13 jumla ni mechi 28.

Ndio kwanza tupo mwezi wa kwanza kuna miezi 5 hapo baadae tayari amecheza mechi 28 hali ikiendelea hivi hata mechi 40 atafikisha.

niwaulize nyie mnaoona anasugulishwa benchi midfield ya pogba na matic unamweka nani bench aanze herrera?
 
mnapenda sana kulalamika hadi mnaboa

katika mechi 6 za makundi za Uefa kombe muhimu Herrera amecheza mechi 5, mechi nne akianza na mechi moja kama sub

kwenye ligi katika mechi 23 herrera amecheza mechi 17 kati ya hizo 9 ameanza na 8 ameingia kama sub.

FA cup tumecheza moja na yeye ameanza

na carabao amechanza mechi 2

So far ameanza mechi 15 na kuingia kama sub mechi 13 jumla ni mechi 28.

Ndio kwanza tupo mwezi wa kwanza kuna miezi 5 hapo baadae tayari amecheza mechi 28 hali ikiendelea hivi hata mechi 40 atafikisha.

niwaulize nyie mnaoona anasugulishwa benchi midfield ya pogba na matic unamweka nani bench aanze herrera?
Swali zuri
 
Mashabiki uchwara wapo wakutosha...kwenye maisha ya kawaida tu akuna furaha ya kila siku.

Board ya United imefanya uchambuzi na kubaini Mou anatufaaa na wanataka kumuongeza mkataba.

Kinachomponza Mou n historia yake ya zamani tu, labda zile zilizokuwa zinaitwa bifu na wachezaji lakin kwa sasa ashakua mtu mzima.

Napenda sana kukaa muda mrefu na kocha mmoja , ila alete mafanikio tu.
 
Mkuu asubhui asubhui unaanza na lugha chafu mpka ikifika jioni sijui utakuwa umeshaingiza zambi ngapi za lugha chafu kuanzia mtaani, ktk jamii yako mpka humu majukwani..sio kosa lako ni malezi mabovu ya wazee wako na instgram ulipozoea
Upumbav ni lugha chafu....,kasome hata Bible utakuta verse nyingi tu zinazoelezea upumbav.
Narudia tena wacha upumbav ww..
 
Back
Top Bottom