Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni kweli mkuu ila Giggs anaweza fanya vizuri sababu anaijua vizuri zaidi Man united nje ndani
Kuijua timu na kufundisha ni vitu 2 tofauti Giggs alipaswa atafute timu ndogo aanze kufundisha ili apate uzoefu.Pep,Zidane wote walianza kufundisha timu za vijana kwanza na walipewa timu zikiwa hazina hali mbaya ukilinganisha na Manchester United ilivyo sasa
 
Kuijua timu na kufundisha ni vitu 2 tofauti Giggs alipaswa atafute timu ndogo aanze kufundisha ili apate uzoefu.Pep,Zidane wote walianza kufundisha timu za vijana kwanza na walipewa timu zikiwa hazina hali mbaya ukilinganisha na Manchester United ilivyo sasa
Ni kweli tunahitaji mtu wa kuamsha amsha kama diego pia jamaa anaweza kudevelop capacity za players
 
Kuijua timu na kufundisha ni vitu 2 tofauti Giggs alipaswa atafute timu ndogo aanze kufundisha ili apate uzoefu.Pep,Zidane wote walianza kufundisha timu za vijana kwanza na walipewa timu zikiwa hazina hali mbaya ukilinganisha na Manchester United ilivyo sasa
Sikatai mkuu ila anaweza tengeneza mentality ya timu tukaenda vizuri tu...ila simeone alitakiwa awepo pale basi tu deals nyingine mashabiki tunaziona kuliko kina Glazzers wale
 
Tottenham wamefunga magoli 92 katika Premier League mwaka 2017, City wanaongoza kwa kufunga magoli 101, wanafuatia United waliofunga magoli 95.


Halafu mtu anakwambia mourinho aondoke hizo goli kwa foward yetu ile ya kukosakosa magoli bado tupo tatu bora.
hayo magoli yanatusaidia nini wakati vs burnley utumbo vs leicister city uharo
yaan dakika za mwisho baada ya kukimbiza mwenge tunarudi golini na kufungwa goli la kusawazisha huyo ni kocha au mpiga ramli?
 
Mourinho-we haven't spent enough huyu jamaa kanishangaza saizi anasingia eti hajatumia mahela ya kutosha ndo mana timu bado mbovu
 
Mourinho-we haven't spent enough huyu jamaa kanishangaza saizi anasingia eti hajatumia mahela ya kutosha ndo mana timu bado mbovu
kama anasingizia enndeleeni kumtegemea smalling na jones wawape kombe wakati wenzenu man city,psa na barcelona wanatumia pesa nyinyi mnaleta siasa kwenye mpira wa sasahivi
 
Kuna Watu Wanafurahisha Kweli!!! Eti timu apewe Giggs!!!! Hivi Watu Wanazani Zidane Kaibuka tu pale Kuwa Kocha Wa Real Madrid???

Zidane Alianza timu ya Vijana Kwa Miaka Kadhaa Mpaka Kapata Uzoefu ndiyo akakabidhiwa Senior Team.

The Same Kwa Steven Gerrard sasahivi Si Mjinga Kukubali Kufundisha Watoto Wa Shule (Academy) Kwa Sababu Kashatega Baadae Awe Full experience..

Kuvamia Ukocha Bila Ya Experience Kamuulizeni Garry Neville au Maradona kimewakuta Nini??

Waingereza si Wajinga Kiasi Hicho Wawape Timu Giggs, Lampard na Gerrard Timu Zao kwa Sababu eti Wamezichezea sana kwahiyo Wanazifahamu.
 
hayo magoli yanatusaidia nini wakati vs burnley utumbo vs leicister city uharo
yaan dakika za mwisho baada ya kukimbiza mwenge tunarudi golini na kufungwa goli la kusawazisha huyo ni kocha au mpiga ramli?
Mbona alipokuwa anashinda goli nne hamkuzikataa kama magoli hayasaidii? Kuna muda muwe mnaangalia na timu ukuaji wake sio kufikiria vikubwa wakat uwezo huna mourinho analalamikiwa kupak bus lakim chek hizo goli hata hilo mmeshindwa kuligundua kuponda kumewajaa rohoni
 
Ni kweli mkuu ila Giggs anaweza fanya vizuri sababu anaijua vizuri zaidi Man united nje ndani

Kosa alilofanya ni kukataa kuungana na mourinho ktk bench la ufund alipewa nafas ndo mana hadi muda huu hakina anaemhusisha kuchukua nafasi zidane kakaa chini ya makocha watatu ukiacha timu b alikokuwa
 
Kuna Watu Wanafurahisha Kweli!!! Eti timu apewe Giggs!!!! Hivi Watu Wanazani Zidane Kaibuka tu pale Kuwa Kocha Wa Real Madrid???

Zidane Alianza timu ya Vijana Kwa Miaka Kadhaa Mpaka Kapata Uzoefu ndiyo akakabidhiwa Senior Team.

The Same Kwa Steven Gerrard sasahivi Si Mjinga Kukubali Kufundisha Watoto Wa Shule (Academy) Kwa Sababu Kashatega Baadae Awe Full experience..

Kuvamia Ukocha Bila Ya Experience Kamuulizeni Garry Neville au Maradona kimewakuta Nini??

Waingereza si Wajinga Kiasi Hicho Wawape Timu Giggs, Lampard na Gerrard Timu Zao kwa Sababu eti Wamezichezea sana kwahiyo Wanazifahamu.
Kuna Makocha wenye CV kubwa wamepitia Liverpool tangu Benitez alipoondoka ila hawajafanya lolote licha ya kuwa na CV nzuri kwenye football career zao..


David Moyes alikuwa na record nzuri kwenye ligi ya uingereza. Miaka kibao akiwa na Everton hajawahi kucheza nje ya top 100. Tukidhani tukimpatia team yenye bajeti kubwa tutafika mbali mwisho wa siku tukaishia katikati ya msimamo wa ligi.


Van Gal pia amebeba UEFA na Bayern, aliiongoza Timu ya taifa ya uholanzi kucheza fainal ya kombe la dunia pale Brazil (2014). Na record lukuki. Ila tuliona alivyoshindwa kuisogeza team kocha la Kufanya sajili za wakina Do Maria, Damian, Falcao n.k

Unamfahamu Mike Phelan????? Huyu alikuwa assistant na First team Coach wa Manchester united kwa vipindi tofauti kuanzia mwaka 1999 mpaka siku mwalimu sir Alex Ferguson anastaafu, ila aliishusha Daraja Fulham na akatimuliwa pia Norwich city mwaka 2015. Namaanisha si kila kocha aliepitia kuwa
Kuna Watu Wanafurahisha Kweli!!! Eti timu apewe Giggs!!!! Hivi Watu Wanazani Zidane Kaibuka tu pale Kuwa Kocha Wa Real Madrid???

Zidane Alianza timu ya Vijana Kwa Miaka Kadhaa Mpaka Kapata Uzoefu ndiyo akakabidhiwa Senior Team.

The Same Kwa Steven Gerrard sasahivi Si Mjinga Kukubali Kufundisha Watoto Wa Shule (Academy) Kwa Sababu Kashatega Baadae Awe Full experience..

Kuvamia Ukocha Bila Ya Experience Kamuulizeni Garry Neville au Maradona kimewakuta Nini??

Waingereza si Wajinga Kiasi Hicho Wawape Timu Giggs, Lampard na Gerrard Timu Zao kwa Sababu eti Wamezichezea sana kwahiyo Wanazifahamu.
Kuna Makocha wenye CV kubwa wamepitia Liverpool tangu Benitez alipoondoka ila hawajafanya lolote licha ya kuwa na CV nzuri kwenye football career zao..


David Moyes alikuwa na record nzuri kwenye ligi ya uingereza. Miaka kibao akiwa na Everton hajawahi kucheza nje ya top 100. Tukidhani tukimpatia team yenye bajeti kubwa tutafika mbali mwisho wa siku tukaishia katikati ya msimamo wa ligi.


Van Gal pia amebeba UEFA na Bayern, aliiongoza Timu ya taifa ya uholanzi kucheza fainal ya kombe la dunia pale Brazil (2014). Na record lukuki. Ila tuliona alivyoshindwa kuisogeza team kocha la Kufanya sajili za wakina Do Maria, Damian, Falcao n.k

Unamfahamu Mike Phelan????? Huyu alikuwa assistant na First team Coach wa Manchester united kwa vipindi tofauti kuanzia mwaka 1999 mpaka siku mwalimu sir Alex Ferguson anastaafu, ila aliishusha Daraja Fulham na akatimuliwa pia Norwich city mwaka 2015. Namaanisha si kila kocha aliepitia kuwa
 
Kuna Watu Wanafurahisha Kweli!!! Eti timu apewe Giggs!!!! Hivi Watu Wanazani Zidane Kaibuka tu pale Kuwa Kocha Wa Real Madrid???

Zidane Alianza timu ya Vijana Kwa Miaka Kadhaa Mpaka Kapata Uzoefu ndiyo akakabidhiwa Senior Team.

The Same Kwa Steven Gerrard sasahivi Si Mjinga Kukubali Kufundisha Watoto Wa Shule (Academy) Kwa Sababu Kashatega Baadae Awe Full experience..

Kuvamia Ukocha Bila Ya Experience Kamuulizeni Garry Neville au Maradona kimewakuta Nini??

Waingereza si Wajinga Kiasi Hicho Wawape Timu Giggs, Lampard na Gerrard Timu Zao kwa Sababu eti Wamezichezea sana kwahiyo Wanazifahamu.
Umeongea akili sana leo, siamini kama ni wewe au kuna mtu katumia ID yako.
 
Back
Top Bottom