MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,186
- 5,450
Hatuwezi kuwashukuru Man united kilio chetu mpigwe tu. Sisi tuna mbinu nyingi za kuingia top four na Man watamaliza nyuma ya arsenal na kocha atakuwa mwingine.Mkuu mshukuru Mou kadroo na hao watoto, wangeshinda wangekushusha hapo uende nafasi ya saba.
Mpira wa kuvizia ulishakwisha. Morinyo abadili mbinu, packing is outdated.