Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Asee mkuu leo mpo confident kabisaWapenzi Wa Arsenal na Chelsea Leo Hili Jukwaa Ni Lao
Asee mkuu leo mpo confident kabisaWapenzi Wa Arsenal na Chelsea Leo Hili Jukwaa Ni Lao
Haya bhanaArsenal ndio timu pekee yenye uwezo wa kupambana na Man City

aahhaah! Sawa Kijana.Arsenal ndio timu pekee yenye uwezo wa kupambana na Man City
Duuh....na leo pia..!!! Bora hata ya De GeaPia mashabiki wenzangu nawapa angalizo kila pogba akipewaa u captain lazima kuna tatizo tunachezea au kaumia yeye leo nlipomuona kapewa kitambaa nkajia togwa lishaingia inzi
Pale kuna smalling,de gea,jones na hata young kidogo heshima iwepo sawa pogba kakulia pale aliondoka kwa muda ila si mwenyeji kama hao hapo juu wachezaj wanastahili heshima pia.

Asee ukipata sapoti yoyote ile nitagbado naamini ubingwa ni wetu
Mkuu mshukuru Mou kadroo na hao watoto, wangeshinda wangekushusha hapo uende nafasi ya saba.Arsenal ndio timu pekee yenye uwezo wa kupambana na Man City
Man city mna viburi nyie, haya hongerenibado naamini ubingwa ni wetu
bado naamini ubingwa ni wetu
Arsenal ndio timu pekee yenye uwezo wa kupambana na Man City
Pep Guardiola’s net spend at City: £138.1m