huyo dogo amecheza genk na samata na alipouzwa ndipo samata alipoanza kupata namba.....samata kasugua sana benchi kwa sababu ya huyu dogo pamoja na kwamba ni fowadi dogo wingaTetesi
Arsenal wamepiga hatua mbele ya Manchester United na Chelsea katika mbio za kumpata wing'a wa Bayer Leverkusen Leon Bailey 29. (Mirror)


UCL tumetolewa?Msimu huu mnategemea kubeba kombe gani tena ..maana mnalotogemea mmeshatolewa![]()
![]()
![]()
Mournho mbwatukaji anamtaka na Willian, mara Hazard ..hahaha sisi mkitaka timu nzima tutawapa tu. Nyie ci mnatmbelea nyota yetu.
merry Christmass jamani.![]()
![]()
![]()
Wameleta ofa au unasoma udaku? Nyie kombe gani mnalotegemea?Msimu huu mnategemea kubeba kombe gani tena ..maana mnalotogemea mmeshatolewa![]()
![]()
![]()
Mournho mbwatukaji anamtaka na Willian, mara Hazard ..hahaha sisi mkitaka timu nzima tutawapa tu. Nyie ci mnatmbelea nyota yetu.
merry Christmass jamani.![]()
![]()
![]()
Giant wa england ukamfananishe na aston villaChelsea B![]()
![]()
![]()
Hamna kocha tuna msimamizi wa mazoezi na lingard hana mpango kazi kuonyesha style za ushangaliaji...![]()
Dah! Aisee, hata kama unachuki na Mikhi, lakini mzee acha fiksi!! Yaani Mikhi hajawahi kuwa kwenye lineup ya United iliyoshinda game hata moja?!?
Ndo tatizo la mashabikiTimu ikifanya vibaya akiwa anashinda mpo kimyaaa