ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,676
Mata kasha Sababisha! huoni sioni Sababu ya mata Kukaa benchi
Naona lukaku katupia ila kagoma kushangilia,tumezidi kumzodoa
Kiasi pana mnyumbuliko hapo kati.Leo Mou kanisikiliza, badala ya kuwaweka Rashford na Martial kamuweka mmoja na Mata ambae atasaidia creativity all round.
Mfunge west ham sasa kama nyie the gunners mpo timamuIt is not manchester united,It is united of manchester![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ningependa Leo lukaku asiwepo kwenye kikosi kabisa.
Kwako donDonald
Hivi we jamaa zinakupwaya eti
Nilimaanisha kuwa baada ya city kukusuuza timu nyingine zinazofuata kwenye fixture yako zimefunguliwa mlango na city wa kukunyoa ww
Sasa mimi na wewe tutakutana lini tena au cerebrum yako inakwambia kuwa una gemu na gunners next week
Unasema kuhusu kuongea sasa kati ya sisi na ninyi kina nani ni wazee wa kupayuka? Mnapayuka kuliko timu yoyote EPL hata ulaya nzima.Yaani mnadomeka kuliko hata mbabe city.Maneno mnayoyaongea hayaendani kabisa na uwezo wa timu yenu.Mbinu hakuna kazi tu kupaki ndinga viwanjani.
Unanambia kuhusu ubingwa sasa si ninyi ndo mnapiga sana kelele za ubingwa? Yaani makelele kuliko hata city.Litimu lenyewe linaogopaogopa tu Unaogopa wanaume?
Mnatumia mapesa mengi ambayo hayasaidii timu, bora hata city pesa waliyotumia inaonekana
Hamjakoma tu mnataka kuuza wachezaji mnunue malukaku mengine
Mtauza mpaka OT pumbav kbs!!!!!!!!!???.?!!!
sent from my xm udongo using jf app
sijakuelewaMechi alizoshinda Man Utd at OT mpaka sasa ni sawa na mechi zote alizoshinda OT msimu mzima.
Nadhani alisahau neno uliopita baada ya neno msimu mzima.sijakuelewa
Majerui Sana Yule dogoMm sihafiki luke kuuzwa atolewe kwa mkopo itapendeza zaid yule dogo hapewi nafasi tu