Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,109
- 1,249,103
Tetesi
ALEX SANDRO ANATAKA KUTUA CHELSEA
Beki wa Juventus Alex Sandro anapendelea kwenda Chelsea kuliko Manchester United, kwa mujibu wa The Sun .
Blues walishindwa kumpata beki huyo wa Kibrazili majira ya joto, na kuipa United fursa ya kumfukuzia mchezaji huyo lakini anatamani kutua Stamford Bridge Januari.
ALEX SANDRO ANATAKA KUTUA CHELSEA
Beki wa Juventus Alex Sandro anapendelea kwenda Chelsea kuliko Manchester United, kwa mujibu wa The Sun .
Blues walishindwa kumpata beki huyo wa Kibrazili majira ya joto, na kuipa United fursa ya kumfukuzia mchezaji huyo lakini anatamani kutua Stamford Bridge Januari.