Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Kwako donDonald
Hivi we jamaa zinakupwaya eti
Nilimaanisha kuwa baada ya city kukusuuza timu nyingine zinazofuata kwenye fixture yako zimefunguliwa mlango na city wa kukunyoa ww
Sasa mimi na wewe tutakutana lini tena au cerebrum yako inakwambia kuwa una gemu na gunners next week
Unasema kuhusu kuongea sasa kati ya sisi na ninyi kina nani ni wazee wa kupayuka? Mnapayuka kuliko timu yoyote EPL hata ulaya nzima.Yaani mnadomeka kuliko hata mbabe city.Maneno mnayoyaongea hayaendani kabisa na uwezo wa timu yenu.Mbinu hakuna kazi tu kupaki ndinga viwanjani.
Unanambia kuhusu ubingwa sasa si ninyi ndo mnapiga sana kelele za ubingwa? Yaani makelele kuliko hata city.Litimu lenyewe linaogopaogopa tu Unaogopa wanaume?
Mnatumia mapesa mengi ambayo hayasaidii timu, bora hata city pesa waliyotumia inaonekana
Hamjakoma tu mnataka kuuza wachezaji mnunue malukaku mengine
Mtauza mpaka OT pumbav kbs!!!!!!!!!???.?!!!
sent from my xm udongo using jf app
Hivi we jamaa zinakupwaya eti
Nilimaanisha kuwa baada ya city kukusuuza timu nyingine zinazofuata kwenye fixture yako zimefunguliwa mlango na city wa kukunyoa ww
Sasa mimi na wewe tutakutana lini tena au cerebrum yako inakwambia kuwa una gemu na gunners next week
Unasema kuhusu kuongea sasa kati ya sisi na ninyi kina nani ni wazee wa kupayuka? Mnapayuka kuliko timu yoyote EPL hata ulaya nzima.Yaani mnadomeka kuliko hata mbabe city.Maneno mnayoyaongea hayaendani kabisa na uwezo wa timu yenu.Mbinu hakuna kazi tu kupaki ndinga viwanjani.
Unanambia kuhusu ubingwa sasa si ninyi ndo mnapiga sana kelele za ubingwa? Yaani makelele kuliko hata city.Litimu lenyewe linaogopaogopa tu Unaogopa wanaume?
Mnatumia mapesa mengi ambayo hayasaidii timu, bora hata city pesa waliyotumia inaonekana
Hamjakoma tu mnataka kuuza wachezaji mnunue malukaku mengine
Mtauza mpaka OT pumbav kbs!!!!!!!!!???.?!!!
sent from my xm udongo using jf app