Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwako donDonald
Hivi we jamaa zinakupwaya eti
Nilimaanisha kuwa baada ya city kukusuuza timu nyingine zinazofuata kwenye fixture yako zimefunguliwa mlango na city wa kukunyoa ww
Sasa mimi na wewe tutakutana lini tena au cerebrum yako inakwambia kuwa una gemu na gunners next week
Unasema kuhusu kuongea sasa kati ya sisi na ninyi kina nani ni wazee wa kupayuka? Mnapayuka kuliko timu yoyote EPL hata ulaya nzima.Yaani mnadomeka kuliko hata mbabe city.Maneno mnayoyaongea hayaendani kabisa na uwezo wa timu yenu.Mbinu hakuna kazi tu kupaki ndinga viwanjani.
Unanambia kuhusu ubingwa sasa si ninyi ndo mnapiga sana kelele za ubingwa? Yaani makelele kuliko hata city.Litimu lenyewe linaogopaogopa tu Unaogopa wanaume?
Mnatumia mapesa mengi ambayo hayasaidii timu, bora hata city pesa waliyotumia inaonekana
Hamjakoma tu mnataka kuuza wachezaji mnunue malukaku mengine
Mtauza mpaka OT pumbav kbs!!!!!!!!!???.?!!!

sent from my xm udongo using jf app
 
INJURY FOR ROJO
Marcos Rojo suffered a nasty cut to the head in the first half and temporarily left the pitch to receive treatment, before gallantly returning sporting a thick bandage. The Argentina international made it to the half-time break but was taken off by the manager and replaced by Victor Lindelof at centre-back. It remains to be seen whether he will be fit to face Bournemouth at Old Trafford in midweek
 
Haya ni maoni yangu, hayo uliyasema mimi sijawahi kuyasema. Hivyo, kama unalenga kujadiliana nami, usinijumuishe kwenye fungu ambalo simo.

Ninachomaanisha ni kwamba, kibinadamu, City hawawezi kucheza kwa kasi hiyo kwa mashindano yote. Wakifanya hivyo, watajiwekea mazingira ya fatigue, injuries, suspensions etc. Kumbuka anashiriki kwenye EPL, UCL, FA na League Cup! It’s doable, lakini to be honest sioni City wakifanya hivyo. Defense ya City siyo nzuri sana; leo United iliangushwa na kukosa mtu wa kupeleka mashambulizi mbele.

Anyways, tuombe uzima tu, ifikapo May, tuone nani yupo sahihi.

Sijakuelewa, May kuna nini? na kuwa sahihi kwenye nini? Hakuna anaweza kutabiri ya May. yaani kwamba wewe utakuwa sahihi iwapo kama city hachukui kombe au city atachukua kombe lakini atakuwa amefungwa?

Mimi nakubaliana na wewe kwa haya.
1. City ita ?????????
2. City hawata ???????
3. City kuna EPL, UCL, FA sijakuelewa unamaanisha nini hapa.

Mimi nachojua City kwa sasa wapo vizuri na ni timu bora kuliko Man U. Ukiniuliza kwanini nitakuambia kulingana na mechi 16 walizocheza. kwani wewe huna ile app ya livescore?

Tusiangalie ya May. tuweke mwezi mmoja baadae na tuone nn kitawakuta. Sasa may ni mbali sana.

“I think they are a very good team, they are lucky, they have decisions in their favour,” Mourinho said.


Asked whether the title race was now over, Mourinho said: “Probably, yes. Manchester City are a very good team and they are protected by the luck, and the gods of football are behind them.”

Wewe unasema hivi : City hawawezi kucheza kwa kasi hiyo kwa mashindano yote. Mimi nauliza kasi ipi? wewe unaona ni kasi mimi naona ni mfumo wa kocha wetu.
Mpira anaochezesha Pep ni ule aliochezesha barcelona, Kamfunga Arsenal, Kamfunga Chelsea, Kamfunga Liverpool, Kamfunga Man United, sio kama hatafungwa bali mpira wake bado utabaki kuwa huu tunaouona.

wewe usiniambie mambo ya May, wakati juzi tu walikuwa wanasema we subiri tarehe 10 dec. imefika sasa wengine wanasema subiri May.
 
Hapa naamini ni bahati kubwa mno angalia vigoli vyao vya hovyo hovyo tu umemgonga lukaku mara li bek limekutana nao jana niameamini bahat ipo mpirani hamna cha mipango bado sijaona best team ila ni bahat tu hata ile pressing ya kawaida mno sio kama ya liverpool wanaojua mpira wataelewa hili

Mkuu elewa mlichokuwa mnapambania ni kupata point 3. sasa unapozikosa usianze ooh unajua chenga tumewala sijui wahajui kucheza angalia vigoli vyao. NOOOOOOOOOOOO

Angalia kwanini umepoteza point 3.
1. Kwahiyo umefungwa kwasababu Man city walicheza na Poor defense na kuwa na attackers wengi?

mimi binafsi sijapendezwa na yale magoli mawili yalikuwa ya hovyo sana sijui kwanini hawakufunga mengi. Ila leo kazini palitulia sana. Chelsea hawezi msema man u, arsenal na liverpool nao maji yalikuwa baridi. siku ikawa shwari leo.


Nicolas-Otamendi-1157412.jpg
 
Guyz Tukubali tu Gardiolla alituzidi maarifa..full stop hizo nyingine ni xcuse zisizo na maana.
City wametumia vizuri makosa yetu km ss tulivyotumia makosa ya arsenal siku ile.

Note:Utd hatuwezi fika popote kama LUKAKU akiendelea kucheza vile...ni mzigo..mzito habebeki.
Ameniudhi sana mpk leo..
 
Guyz Tukubali tu Gardiolla alituzidi maarifa..full stop hizo nyingine ni xcuse zisizo na maana.
City wametumia vizuri makosa yetu km ss tulivyotumia makosa ya arsenal siku ile.

Note:Utd hatuwezi fika popote kama LUKAKU akiendelea kucheza vile...ni mzigo..mzito habebeki.
Ameniudhi sana mpk leo..
Acha uboya kacheze ww huo ndo mpira kubaliana na matokeo.
 
Guyz Tukubali tu Gardiolla alituzidi maarifa..full stop hizo nyingine ni xcuse zisizo na maana.
City wametumia vizuri makosa yetu km ss tulivyotumia makosa ya arsenal siku ile.

Note:Utd hatuwezi fika popote kama LUKAKU akiendelea kucheza vile...ni mzigo..mzito habebeki.
Ameniudhi sana mpk leo..
Tatizo wengi hatutaki kukubali udhaifu wa timu yetu hili lipo wazi kikosi chetu hakitishi bhana. Anaebisha abishe tu Tokwe povu ni kawaida ya ushabiki kutetea timu yake.
 
Sijakuelewa, May kuna nini? na kuwa sahihi kwenye nini? Hakuna anaweza kutabiri ya May. yaani kwamba wewe utakuwa sahihi iwapo kama city hachukui kombe au city atachukua kombe lakini atakuwa amefungwa?

Mimi nakubaliana na wewe kwa haya.
1. City ita ?????????
2. City hawata ???????
3. City kuna EPL, UCL, FA sijakuelewa unamaanisha nini hapa.

Mimi nachojua City kwa sasa wapo vizuri na ni timu bora kuliko Man U. Ukiniuliza kwanini nitakuambia kulingana na mechi 16 walizocheza. kwani wewe huna ile app ya livescore?

Tusiangalie ya May. tuweke mwezi mmoja baadae na tuone nn kitawakuta. Sasa may ni mbali sana.

“I think they are a very good team, they are lucky, they have decisions in their favour,” Mourinho said.


Asked whether the title race was now over, Mourinho said: “Probably, yes. Manchester City are a very good team and they are protected by the luck, and the gods of football are behind them.”

Wewe unasema hivi : City hawawezi kucheza kwa kasi hiyo kwa mashindano yote. Mimi nauliza kasi ipi? wewe unaona ni kasi mimi naona ni mfumo wa kocha wetu.
Mpira anaochezesha Pep ni ule aliochezesha barcelona, Kamfunga Arsenal, Kamfunga Chelsea, Kamfunga Liverpool, Kamfunga Man United, sio kama hatafungwa bali mpira wake bado utabaki kuwa huu tunaouona.

wewe usiniambie mambo ya May, wakati juzi tu walikuwa wanasema we subiri tarehe 10 dec. imefika sasa wengine wanasema subiri May.
Hawa man utd kubishana nao ni kupoteza muda. Wahajuw kusoma nyakati. Wameshakalili ya zamani. Kwan City akipoteza, wao hawatapoteza tena?
 
Anaesema kuw City kafungia bahati simuelewi kabisa. Ulitaka ufungwej ndo ukubali kuw ujafungiw bahati?
 
Anaesema kuw City kafungia bahati simuelewi kabisa. Ulitaka ufungwej ndo ukubali kuw ujafungiw bahati?
Surely what he meant is, we expected goals from set pieces from the Level Man city claim to be, sio magoli ya kumgonga huu na yule kisha uti mguu ndio ushinde
 
Kiukweli kabisa leo sielewi kwanini Utd hatukutumia udhaifu huo wa City kuwamaliza

Okay tumemkosa Pogba ila still kuna watu wangeweza kufanya kazi hiyo, then yule Walker mwanzoni tuu alikula kadi kwanini Rashford /Martial wasingetumia nafasi hiyo kumkimbiza.... Kompany wa msimu huu sio yule wa misimu miwili iliyopita ila tumeshindwa ku take advantage

Hata set pieces tumeshindwa kutumia advantage ya wachezaji wetu warefu, City wengi wafupi hata kocha wao kabla ya mechi alikuwa na wasiwasi.

Kiufupi leo City hawakutakiwa wapate hata point moja, ila iliandikwa washinde tuu

Tatizo ni Mourinho kukubali kuwa hamuwezi Guardiola. Baada ya kurudisha lile goli, nafikiri alipokuwa dressing room amewaambia a point is enough. Sasa hili ndio tatizo la Mourinho. Haja exploit weakness ya man city, tizama jinsi tulivorudisha goli, it shows that City pamoja na passing game yao, if you put pressure on them, wanaanza kuhangaika.

Najiuliza kila siku, yule Mourinho wa Chelsea enzi zile amepotea wapi? huyu wa sasa amepatwa na mtihani gani mpaka anakosa confidence, na kuwakosesha confidence wachezaji?
 
Ww ulizuiwa kufunga ya ivyo?
Swali sio kama mimi nilizuiwa au not. Kwa mechi ya juzi, inaonekana kuwa Man utd wameweza kuwazuia Man city kutengeza magoli, kwa bahati mbaya, lukaku akawa anawatengezea. Ofcourse, ili upate goli lazima kuwe na error somewhere, lakini not such errors za Lukaku.
 
Swali sio kama mimi nilizuiwa au not. Kwa mechi ya juzi, inaonekana kuwa Man utd wameweza kuwazuia Man city kutengeza magoli, kwa bahati mbaya, lukaku akawa anawatengezea. Ofcourse, ili upate goli lazima kuwe na error somewhere, lakini not such errors za Lukaku.
Umeongea kama mpagani mkuu suala hapo ni mmelazimishwa kufanya makosa abayo beki zilikuwa zinajisahau alfu lukaku ndyo anabeba duty ya ku clear
 
Back
Top Bottom