Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Umeongea kama mpagani mkuu suala hapo ni mmelazimishwa kufanya makosa abayo beki zilikuwa zinajisahau alfu lukaku ndyo anabeba duty ya ku clear
The good thing hatukulazimishwa kufanya hayo makosa, wakati Man city walitakiwa kutulazimisha kufanya hayo makosa.

Makosa tumefanya wenyewe kwa kuwapa too much space. Wala Man city hawakutegemea such errors to be made. ndio maana tunaona ni magoli ya bahati.Nielewe vizuri, goli ni goli tu, hata maradona alifunga goli la mkono likahesabiwa. sisemi kama mechi ni 1 bila, man utd imefungwa na imepoteza point. Na kuwa tulikuwa na uwezo wa kuwatwanga, ila Mourn yeye amechagua kutoka na droo tu, matokeo yake katufungisha. Point yangu kuu hapa ni kuwa Man utd tumejipindua wenyewe and not Man city
 
usishangae liva kufungwa na porto na kutolewa hapo


Keep Dreaming! Endelea Kuota! Kweli Adui Muombee Njaa Lakini Huwezi Muombea Njaa Bakhressa utajisumbua bure...

Mimi Kwa Timu zilizomo Champion League Anayeweza Kunitoa Labda Nikutane Na Timu Ya Kiingereza Mwenzangu lakini Si ya Nje ya Uengereza.

Kwamfano Man United Akija Anfield Anajua Acheze na Mimi Vipi ili anisubiri OT... Lakini Hao wengine hawatoweza kuijua Siri ya Anfield..
 
Tatizo ni Mourinho kukubali kuwa hamuwezi Guardiola. Baada ya kurudisha lile goli, nafikiri alipokuwa dressing room amewaambia a point is enough. Sasa hili ndio tatizo la Mourinho. Haja exploit weakness ya man city, tizama jinsi tulivorudisha goli, it shows that City pamoja na passing game yao, if you put pressure on them, wanaanza kuhangaika.

Najiuliza kila siku, yule Mourinho wa Chelsea enzi zile amepotea wapi? huyu wa sasa amepatwa na mtihani gani mpaka anakosa confidence, na kuwakosesha confidence wachezaji?
Mourinho wa Chelsea alikuwa anacheza tofauti na sasa ?
 
Mashabiki wa Man Utd mnatia hadi huruma. Et Man city isingeweza kuwafunga. Mwaka jana tuliwagonga na wakati hatukuw vizuri. Mwaka huu ndo tungewashindwa kweli?
 
Kocha wa zamani wa Manchester United, Louis van Gaal amemshambulia Jose Mourinho kutokana na kukiongoza kikosi chake juzi Jumapili jambo lililowafanya waonyeshe soka la kichovu na kufungwa na Manchester City.

Kocha huyo mwenye mika 66 amemvaa bosi huyo wa Manchester United kwa madai kwamba mtindo wake wa kucheza ndio umemponza.

Van Gaan ameweka wazi kwamba soka la kocha huyo ni kwamba linaboa uwanjani jambo ambalo liliwapa wapinzani wao kuwaadhibu kwa mabao 2-1.

Pia hakusita kumpa sifa kocha Pep Guardiola pamoja na safu yao ya ushambuliaji ambayo imekuwa makini kuzuia maadui.
 
Nyota wa Manchester United, Romelu Lukaku na mwenzake wa Manchester City, Vincent Kompany ambao ni raia wa Belgium, hawakausita kusalimiana licha ya timu zao kufanyiana ubabe uwanjani.

Mechi hiyo iliisha kwa Manchester City kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya kikosi cha Jose Mourinho, lakini matokeo ya uwanjani hayakuwa kikwao kwa mastaa hao kupeana mikono.

Licha ya Mourinho kuonekana akilalamika kwenye mchezo huo kutokana na kutoridhisha na maamuzi uwanjani, lakini Lukaku hakuonyesha tofauti yoyote kwa mchezaji mwenzake wa Belgium, Kompany baada ya mpira kumalizika.
 
The good thing hatukulazimishwa kufanya hayo makosa, wakati Man city walitakiwa kutulazimisha kufanya hayo makosa.

Makosa tumefanya wenyewe kwa kuwapa too much space. Wala Man city hawakutegemea such errors to be made. ndio maana tunaona ni magoli ya bahati.Nielewe vizuri, goli ni goli tu, hata maradona alifunga goli la mkono likahesabiwa. sisemi kama mechi ni 1 bila, man utd imefungwa na imepoteza point. Na kuwa tulikuwa na uwezo wa kuwatwanga, ila Mourn yeye amechagua kutoka na droo tu, matokeo yake katufungisha. Point yangu kuu hapa ni kuwa Man utd tumejipindua wenyewe and not Man city
Kila mstari ulioandika ni kama umenisikiliza nikiongea na shabiki mwenzangu wa utd hapa! its very true, hapakuwa na tishio lolote kwetu kujihami kiasi kile, mwalimu ametufanya kuamin kwamba city ni threat and so tutafte point 1 na matokeo yake tumepoteza
 
Tatizo wengi hatutaki kukubali udhaifu wa timu yetu hili lipo wazi kikosi chetu hakitishi bhana. Anaebisha abishe tu Tokwe povu ni kawaida ya ushabiki kutetea timu yake.
Kile kikosi kina wachezaji wanaotisha ila kimefungwa na mwalimu kwa mpira wake wa kujilinda anapocheza na timu kubwa
 
Kila mstari ulioandika ni kama umenisikiliza nikiongea na shabiki mwenzangu wa utd hapa! its very true, hapakuwa na tishio lolote kwetu kujihami kiasi kile, mwalimu ametufanya kuamin kwamba city ni threat and so tutafte point 1 na matokeo yake tumepoteza
Approach yetu kwenye game ilikuwa too negative. Halafu Mourninho sijamuelewa mentality yake, it seems United is too big for him. Eti anakwenda kuwaambia wachezaji wa Man city wapunguze shangwe la kusherekea, yaani nimefurahi sana alivomwagiwa maziwa, na bora wangemfanyia inda wachezaji wote wakamwagia maziwa na maji. Badala ya kwenda chumba cha wachezaji wake na kuwaambia kuwa "mnasikia jamaa wanavotuekea makelele kwa kutufunga uwanjani kwetu?" anajitia kiherehere kujipeleka kwa man city.
 
I will support my striker through the bad days and good
60702ad5808c60eced9b1d3e020e0ba3.jpg
 
Nyota wa Manchester United, Romelu Lukaku na mwenzake wa Manchester City, Vincent Kompany ambao ni raia wa Belgium, hawakausita kusalimiana licha ya timu zao kufanyiana ubabe uwanjani.

Mechi hiyo iliisha kwa Manchester City kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya kikosi cha Jose Mourinho, lakini matokeo ya uwanjani hayakuwa kikwao kwa mastaa hao kupeana mikono.

Licha ya Mourinho kuonekana akilalamika kwenye mchezo huo kutokana na kutoridhisha na maamuzi uwanjani, lakini Lukaku hakuonyesha tofauti yoyote kwa mchezaji mwenzake wa Belgium, Kompany baada ya mpira kumalizika.
Ndo nini sasa
 
Kwani Mourinho aloitambulisha Chelsea kwenye ubingwa EPL we unamuona ni sawa na huyu wa saivi?

Unataka kunambia kuwa huyu Mourn unamuona sawa na yule alomtengeza Drogba? mmmhhh
Inaonekana hata humjui Mourinho
 
Back
Top Bottom