Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

JAMBO LA MPITO HILO
MTATOKA KATIKA HAYO MATESO

REF.. BABU SEYA N PAPII KOCHA MTOTO WA MFALME
 
Duh! Kweli wamenitesa hata mimi shabiki lao.

Hapa job, kuna mtu nilibet naye 20k kwa game la jana kati ya Man u vs Man city.

Dah! Nimeisikitikia wakati anaitafuna.
Ipo siku tu. Ngoja tujipe moyo
 
Tetesi

Mchezaji wa safu ya kati wa Manchester United Henrikh Mkhitaryan anataka kuketi na meneja Jose Mourinho kujadili hatma yake katika klabu hiyo. (Daily Star)
 
Tetesi

Aston Villa wanataka kipa wa Manchester United Sam Johnstone mkataba wa kudumu. Mchezaji huyo mwenye miaka 24 yuko kwenye mkopo na klabu hiyo. (Daily Express)
 
Tetesi

United pia wamefanya mazungumzo na mchezaji wa safu ya kati Marouane Fellaini katika jaribio la kutaka asaini mkataba mpya. Mkataba wa sasa wa Felliani unakamilika msimu huu. (Sun)
 
Tetesi

Arsenal wako katika nafasi nzuri ya kumsaini kipa wa Manchester United Sergio Romero, 30. (Daily Star)
 
ki ukweli City wanashinda kibahati kuna mechi wanashinda dakika za majeruhi
Mimi naamini kushinda dakika za majeruhi si bahati bali ni inaonyesha ni jinsi gani timu husika ilivyo imara ktk mapambano hadi dk ya mwisho mf. Wa hii kumbuka Man U ya ferguson ilikuwa hadi game iishe ndo mpinzani anajua tumeshinda. Kuna kipindi hata sekunde tu ilikuwa na thamani sana kwenye ile timu. Kushinda kibahati ni kama ile ilivyokuwa baina yetu na arsenal, yani mf. Mnakoswa magili mengi ya wazi halafu ninyi mnapata nafasi moja au mbili mnaitumia kisha mnalinda na mnaendelea kukoswa koswa hadi game inaisha.
 
Champions League last-16 draw



Juventus v Tottenham (13 February and 7 March)

Basel v Manchester City (13 February and 7 March)

Porto v Liverpool (14 February and 6 March)

Sevilla v Manchester United (21 February and 13 March)

Real Madrid v PSG (14 February and 6 March)

Shakhtar Donetsk v Roma (21 February and 13 March)
Chelsea v Barcelona (20 February and 14 March)

Bayern Munich v Besiktas (20 February and 14 March)

5a767df13143f2b323d1ec99fc4db042.jpg
 
Huko mwezi wa nne nadhani utakuwa usharudi nafasini kwako zamaaani
Ww umfunge gunners kwa mpira upi hata kama mkiotea kama last week hamuwezi kutufunga
Kwa sahivi nategemea timu zingine kugawa dozi kwenu,city ashafungua njia
Recall;Mashabiki wa man mnaongea kuliko uwezo halisi wa timu yenu
NB;Sahauni kuhusu ubingwa

Kuna kitu hakipo sawa kuhusu washabiki wa Arsenal !!!!!!!!!!!

Blue: Sasa kama hata tukiotea hatuwezi kuwafunga, 02/12/2017 ndani ya Emirates ilikuwaje? kwani 3-1 ulikuwa ni mpira upi? au unadhani ilikuwa ni cricket ile?

Red: Hapo ndipo mnapoonyesha unyonge wenu, yaani badala useme nyinyi mtatufunga ili kupunguza points / kutupita, unategemea wanaume wengine ndio wafanye kazi hiyo.... dah inasikitisha sana kwa kweli

Green: Sasa kati ya mashabiki wa Arsenal na UTD wapi wanatakiwa kuongea zaidi, timu ipi inauwezo zaidi ya nyingine?.. inasikitisha sana; akili za washabiki wa Arsenal.... mashabiki wa UTD lazima wajidai, kwanza wamekufunga... ndio wamekufunga kwako, pili wamekupita points nyingi tuu kwenye ligi

Black: Kwahiyo mashabiki wa UTD wakisahau kuhusu ubingwa, mashabiki wa Arsenal ndio wawe na mawazo ya ubingwa?
 
Back
Top Bottom