radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Tuliza mshono
Ngoja nkuache lugha za kipuuz tunaziweza ila kwakuwa upo jukwaa la watu wazima wanaojitambua nakutupia taulo ujifute jasho
Tuliza mshono
Kwel kabisa c ile man utd ya mtaan kwenuYaani Man U sasahivi wanategemea tu magoli ya kubahatisha ya Counter Attack baasi
Yaani wamekuwa mdebwedo kuliko lipuli.
Siyo lipuli kbsa?Wakati anaenda jela mancity ilikiwa hadhi ya Njombe Mji.
Mzee wa assist. Hivi anazo ngapi mpaka sasa??
Ratiba nzuri
tangu lini umeanza kuishabikia man city?Yaani Man U sasahivi wanategemea tu magoli ya kubahatisha ya Counter Attack baasi
Yaani wamekuwa mdebwedo kuliko lipuli.
Janatangu lini umeanza kuishabikia man city?
hahahaha poa.Jana