Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Ahsante pole zako zimefika.Kwema hapa Kijijini? Nimekuja kutoa pole tu kwa wahusika
Ahsante pole zako zimefika.Kwema hapa Kijijini? Nimekuja kutoa pole tu kwa wahusika
Si kweli, hata Mourunho anasema hivyo ili kupata huruma kutoka kwa kwa watu kama nyinyi. Hivi kwa jana tulifanya nini kikubwa kinachoweza fanya sema city walishinda kibahati? Possession yenyewe ilikua United 25% na City 75%. Tulipiga mashuti mangapi golini, na tulitengeneza nafasi ngapi za wazi kulinganisha na wao hadi tuseme jamaa walikuwa na bahati? Mourinho anafeli kwa uoga wake halafu anasingizia bahati. Bahati tulikuwa nayo sisi tulipowafunga arsenal.pamoja na kwamba wapo vizuri ila bahati nayo inawabeba sana
City hawezi kucheza hivi mpaka msimu unaisha. Labda kama aamue kuweka nguvu zote kwenye EPL! Bado yupo FA na UCL, kumbuka.
Ila kumbuka unavyozungumzia mashindano mengine na timu zingine za top 6 zinacheza, labda kama na zenyewe zitalazimika kutoa sadaka mashindano mengine kwa ajili ya kumkimbiza CityRace is wide open!! kila kitu kinawezekana
Kinacho hofiwa tu nadhani italazimika City Kusucrifice baadhi ya mashindano kwa expense ya EPL
FA cup/EFL wabaki na UCL/EPL
wakijifanya mtaka yote inakula kwao
City ndo bingwa wa epl ilo halipingiki ila tunafurahi kulikua na kauli kua hatujawahi fungwa uwanja wetu mara cc ndo tutamsimamisha huyu mtu mara sisi ndo tunagombea nae ubingwa hahahaaa jana mtt kalale kwa jilani na "fyatu" vyakeUkiwa unashangilia hiv uwe unajiuliza kakuacha point ngap city labda ubingwa uwe hauutak uishie kushangilia goli za salah may unapigania top 4
Hivi man u tulifanya kikpi kikubwa na tishio hadi tuamini city walishinda kwa maandiko ya Mungu? Tukubali tu jamaa walituzidi kila sehemu kutokana na falsafa ya mpira tunaocheza na timu kubwa zoteKiukweli kabisa leo sielewi kwanini Utd hatukutumia udhaifu huo wa City kuwamaliza
Okay tumemkosa Pogba ila still kuna watu wangeweza kufanya kazi hiyo, then yule Walker mwanzoni tuu alikula kadi kwanini Rashford /Martial wasingetumia nafasi hiyo kumkimbiza.... Kompany wa msimu huu sio yule wa misimu miwili iliyopita ila tumeshindwa ku take advantage
Hata set pieces tumeshindwa kutumia advantage ya wachezaji wetu warefu, City wengi wafupi hata kocha wao kabla ya mechi alikuwa na wasiwasi.
Kiufupi leo City hawakutakiwa wapate hata point moja, ila iliandikwa washinde tuu
Hakika nakuhakikishia siyo bahati bali jamaa wapo makini sana kwenye kujipanga na kutumia makosa madogo ya wapinzani wao tofauti na timu yetu ambayo inalazimishwa kukaa golini na bado inapopata vinafasi mshenzi bado wachezaji wanajikanyaga tu. MOURINHO ANAWAHADAA KWA KUDAI CITY WALIKUWA NA BAHATI TU, VITU VINGINE TUWE TUNA JUDGE KUTOKANA NA TULICHOKIONA.Hapa naamini ni bahati kubwa mno angalia vigoli vyao vya hovyo hovyo tu umemgonga lukaku mara li bek limekutana nao jana niameamini bahat ipo mpirani hamna cha mipango bado sijaona best team ila ni bahat tu hata ile pressing ya kawaida mno sio kama ya liverpool wanaojua mpira wataelewa hili
Huo ni ukweli, katika magoli yote mawili hayakuwa yametengenezwa kwa mfumo. Yalitokana na dead balls ambazo kimsingi huwa ni bahati.Si kweli, hata Mourunho anasema hivyo ili kupata huruma kutoka kwa kwa watu kama nyinyi. Hivi kwa jana tulifanya nini kikubwa kinachoweza fanya sema city walishinda kibahati? Possession yenyewe ilikua United 25% na City 75%. Tulipiga mashuti mangapi golini, na tulitengeneza nafasi ngapi za wazi kulinganisha na wao hadi tuseme jamaa walikuwa na bahati? Mourinho anafeli kwa uoga wake halafu anasingizia bahati. Bahati tulikuwa nayo sisi tulipowafunga arsenal.
Extended highlights: Man United 1-2 City - Manchester City FCSi kweli, hata Mourunho anasema hivyo ili kupata huruma kutoka kwa kwa watu kama nyinyi. Hivi kwa jana tulifanya nini kikubwa kinachoweza fanya sema city walishinda kibahati? Possession yenyewe ilikua United 25% na City 75%. Tulipiga mashuti mangapi golini, na tulitengeneza nafasi ngapi za wazi kulinganisha na wao hadi tuseme jamaa walikuwa na bahati? Mourinho anafeli kwa uoga wake halafu anasingizia bahati. Bahati tulikuwa nayo sisi tulipowafunga arsenal.
Magoli yao yalikuwaje?? Hapo ndipo ilipo hoja. Uchezaji wa United ni wa kiufundi sana japo watu wanachukulia powa sana.Hivi man u tulifanya kikpi kikubwa na tishio hadi tuamini city walishinda kwa maandiko ya Mungu? Tukubali tu jamaa walituzidi kila sehemu kutokana na falsafa ya mpira tunaocheza na timu kubwa zote
Leo lukaku hafai acha usunguraMie nauliza hyu morinyo nani alimshauri masajili Lukaku afadhali angemuwahi morata
2011/2012 reviewKwa kweli mkuu nikisomaga post zako napata matumaini.
Ila leo daaah
Yaani cty katuacha point 11 bado tuwe na ndoto za kumfikia? Inahitaji moyo mkubwa sana kuweza kutegemea kitu kama hiko kutokea. muujiza hiyo ilikuwa kipindi cha yesu tu galilaya huko
Huko mwezi wa nne nadhani utakuwa usharudi nafasini kwako zamaaaniHahahaha hahaha duh
Ukitaka kupata kichekesho hiki bonyeza x7296x1q
Sio tuu wachezaji wa Arsenal wanajua jambo hili, sio tuu Arsenal Wenger anajua jambo hili bali pia hata Stan Kroenke anajua kabisa tarehe 28/04/2018 ndani ya Old Traford Man Utd anamalizia kuchukua point 6 zake za kila msimu kutoka arsenal {Ndio raha kuwa na matawi yako kwenye ligi... yes Arsenal ni tawi la UTD}
Kwahiyo technically UTD wameipita Arsenal point 9 mpaka sasa {ukizijumuisha na point zetu 3 za tarehe 28/4}
Sasa ni matumaini yangu darasa litakuwa limekuingia vizuri
*Kroenke ndio tajiri yenu
5 goals za city bado zinakugegedaArsenal bhana! 😀 😀 😀
Nina uhakika Washabiki Wake Wengi Hapa Bongo Wamepitia Mirembe!!!
Hata Liverpool na Chelsea Wanawaza Kushushana Wao Kwa Kwa Wao na sio Kumshusha Manchester!!! Lakini Arsenal Wanawaza Kumshusha Manchester wakati Ndiyo Timu pekee Kwenye Top 6 inayompa Points 6 huyo Manchester.. 😀 😀 😀

Tulia dawa ikuingieki ukweli City wanashinda kibahati kuna mechi wanashinda dakika za majeruhi
