Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jose Mourinho: City are lucky, and always get decisions in their favour
Noel Gallagher: The hypocrisy of that man is staggering!
 
Kwani Man Utd hayupo UEFA..?
Hayupo FA..?
Au kwamba kuanzia leo Man Utd atakua anashinda mechi zote alafu Man City atakua anapoteza tu..?
Umeongea kuhusu injuries na suspensions,Man Utd hawawezi kukutwa na hilo tatizo..!?
Hivi kati ya Man Utd na Man City nani ana kikosi kipana..?

Ahahaaaaah...
Ila sio mbaya,endelea kujipa moyo na matumaini..!
 

Hao ndio Man City vijana na Pep!! Mamaeee na bado!!
 
moja moja mpaka sasa, na wao wana stones na otamendi ndani.... Man city ni timu inayofungika, lau kama tutakuwa tunatafuta goli kama tulivotafuta la kwanza, man city analiwa 4G. beki zake bado.....
4G!!!!!!!???

Nani huyo kaliwa hizo 4G
 
Haya ni maoni yangu, hayo uliyasema mimi sijawahi kuyasema. Hivyo, kama unalenga kujadiliana nami, usinijumuishe kwenye fungu ambalo simo.

Ninachomaanisha ni kwamba, kibinadamu, City hawawezi kucheza kwa kasi hiyo kwa mashindano yote. Wakifanya hivyo, watajiwekea mazingira ya fatigue, injuries, suspensions etc. Kumbuka anashiriki kwenye EPL, UCL, FA na League Cup! It’s doable, lakini to be honest sioni City wakifanya hivyo. Defense ya City siyo nzuri sana; leo United iliangushwa na kukosa mtu wa kupeleka mashambulizi mbele.

Anyways, tuombe uzima tu, ifikapo May, tuone nani yupo sahihi.
 
Yes, but it’s doable. Ngoja tuone...
 
moja moja mpaka sasa, na wao wana stones na otamendi ndani.... Man city ni timu inayofungika, lau kama tutakuwa tunatafuta goli kama tulivotafuta la kwanza, man city analiwa 4G. beki zake bado.....
Ahahaaaaaaaaaaah...
Ulikua unaangalia mechi gani wewe jamaa..!?
Stones ni majeruhi,hajacheza hii mechi..!
Au ulikua unachezesha PlayStation game..!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…