Rashford tayari, bado Lukaku.Rashford na Lukaku natabiri ndiyo wataiua Man city.
Mambo poa.Mambo vipi jirani zangu?
Tunakulaga man city sisi.Mambo vipi jirani zangu?
Matokeo jamaniCity chali leo
Ulikuja mbio..Mambo vipi jirani zangu?
HTMatokeo jamani
moja moja mpaka sasa, na wao wana stones na otamendi ndani.... Man city ni timu inayofungika, lau kama tutakuwa tunatafuta goli kama tulivotafuta la kwanza, man city analiwa 4G. beki zake bado.....Watu wana beki stones na Otamendi sisi tunamtegemea Bailly si ujinga huo
Kweli mkuu, yaani tulivotafuta suluhu nimegunduwa kuwa jamaa ni very vulnarable, na hawawezi kucheza kwa pressure football.... hawa jamaa tunaweza kuwatwanga 4G au 5gNahisi man u hatupaswi kuzui sana.
Hawa jamaa ni wabovu kule nyuma.
Yaani tukipiga counter kama 5 hivi..TATU zitakuwa Goli zote