Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nahisi man u hatupaswi kuzui sana.

Hawa jamaa ni wabovu kule nyuma.

Yaani tukipiga counter kama 5 hivi..TATU zitakuwa Goli zote
Kweli mkuu, yaani tulivotafuta suluhu nimegunduwa kuwa jamaa ni very vulnarable, na hawawezi kucheza kwa pressure football.... hawa jamaa tunaweza kuwatwanga 4G au 5g
 
Back
Top Bottom