Lini imewahi kukuinua? Umekosea chumba rudi stoo ya mkaa hapa sitting room sio sehem yako.Arsenal imetuangusha sana
Ukumbuke pia, De Gea hakudaka mechi yoyote ya Europa Legue, mechi zote alidaka Sergio Romero.Ushasema De Gea # 20 bado tu hujaona madhara ya Europa League
Kigezo kikuu ni performance UCL
Ila mwakani kuna World Cup nayo ni kigezo kikubwa
Nfano Pogba abebe UCL msimu huu halafu WC afike fainali au achukue kabisa na kungara hapo anajibebea kiulaini
Mou hajawahi kufungwa game za jumapili
yaaap nakumbuka hii sema nilisahau ni timu ipi ilivunja mwiko wa mou kufungwa jumapilimkuu ze dudu tulifungwa na chelsea mechi iliyopita pale darajani ila nakuhakikishia kesho united anashinda ondoa wasiwasi hata kiungo awe scott mctominay
3-3nimebet man u wanachezea kichapo 3 kwa 1 kesho dhidi ya man city.....dua zenu wadau
yaaap nakumbuka hii sema nilisahau ni timu ipi ilivunja mwiko wa mou kufungwa jumapili
hayo maelezo hapo niliandika kimtego ili nipate kumbukumbu vizuri
Kwa jinsi ratiba ilivyobana ikihairishwa hii mechi hadi ije ipatikane siku nyingine ya kuicheza Paul Pogba kashamaliza adhabu ...BREAKING NEWS; Kuna Hatari Mechi Ya Wapinzani Wa Jadi Wa Jiji Moja La Manchester '" Manchester Derby" Kuahirishwa Kutokana Na Ripoti Ya Mamlaka Ya Hali Ya Hewa Kuwa Jumapili Ya Kesho Inaweza Kuanguka Barafu Kali Zaidi,Kutokana Na Barafu Inayoendelea Kuanguka Uingereza.
![]()


andika tu kwa kiswahili ili ueleweke mkuu!



jamaa anapractice,muache tu mkuu.waahirishe tu ili Pogba amalize ban yake!BREAKING NEWS; Kuna Hatari Mechi Ya Wapinzani Wa Jadi Wa Jiji Moja La Manchester '" Manchester Derby" Kuahirishwa Kutokana Na Ripoti Ya Mamlaka Ya Hali Ya Hewa Kuwa Jumapili Ya Kesho Inaweza Kuanguka Barafu Kali Zaidi,Kutokana Na Barafu Inayoendelea Kuanguka Uingereza.
![]()