DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,542
- 2,741
Pengo la Pogba kwenye mechi ya City sijui litazibwaje ukizingatia Fella naye majeruhi. Yule zeruzeru De Bryune anatakiwa kuwekewa mkakati maalum msimu huu yupo on fire hatari
Unakumbuka against Chelsea last season, Herrera alikabidhiwa "mtu fulani" atembee naye..... ni matumaini yangu wewe ukiwa kama mshabiki wa Man Utd ila ilibidi umuonee huruma huyo "mtu fulani" jinsi alivyopotezwa kabisa uwanjani
Basi kwa kusema hivyo ina maana kuwa next week Herrera atapewa jukumu hilo alitendee haki

